Habarini ndugu zangu.
Kama wote tujuavyo, sukari imekuwa gumzo kwa sasa. Naomba anaejua namna ambavyo kibali/vibali vya kuingiza sukari vinavyopatikana anijulishe. Je taratibu zikoje? Hasa kwa watu ambao tuko mkoa wa Mwanza na mikoa ya jirani.
Asanteni