Kama wote tujuavyo, sukari imekuwa gumzo kwa sasa. Naomba anaejua namna ambavyo kibali/vibali vya kuingiza sukari vinavyopatikana anijulishe. Je taratibu zikoje? Hasa kwa watu ambao tuko mkoa wa Mwanza na mikoa ya jirani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.