Je, Nape Nnauye anapaswa kushtakiwa kwa kauli aliyotoa huko Bukoba?

Kwa kauli hizi za akina Nape na wengine zinachochea hasira ya kiuchaguzi, tunahamasisha yaliyotokea Rwanda ya kimbari kama siyo leo kesho.Je tumeichoka amani. Tujirekebishe. na tuzikemee. vyombo vya dola fanyeni agenda ya kudumu bila kujali wadhifa wa mtu.
 
Kama kweli kaongea hii kauli, anatakisa kuwajibika au kuwajibishwa kujiuzuru.
Hapa anamaanisha tume ya uchaguzi haina kazi na pesa za uchaguzi zinaliwa bure na wajanja.
Na sisi wapigakura tunapoteza raslimali na muda wetu bure kukiamini Kiinimacho cha uchaguzi.
Kunyamaza ni njia nzuri ya kuficha upumbavu wa kichwani.
 
Hatari demokrasia ya nchi yetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…