hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa umeua bendi wanguMwanaume wa hivi akitokea akadai mie nitashauri mgawo wa chupi,pedi,sidiria na kanga za mkewe uwe mkubwa....
Si ndo haki sawa mkuu!watakushangaa sana loh!
mbili ni haki yako kama sheria inavosema kama mali hizo amezipata mkiwa mshakaa wote mana wao hawaangalii nani kachuma bali alichuma alikwa na nani kwa wakati huo
tatu hata kama alichuma mwenyewe ni haki yako pia koz hata ww ulichangia hata msaada wa mawazo pia hata kama sio mali..... so unastahili