Je, naruhusiwa kwenda mahakamani kusikiliza na kutazama mienendo ya kesi mbalimbali?

Je, naruhusiwa kwenda mahakamani kusikiliza na kutazama mienendo ya kesi mbalimbali?

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Habari za jioni waungwana

Kabla sijafanya maamuzi haya, naomba kupata ushauri kutoka kwenu.

Nataka siku moja niingie mahakamani, hasa mahakama kubwa, nisikilize kesi na shughuli nyinginezo za mahakama.

Nimeona niulize kama inawezekana mtu yoyote kwenda kusikiliza kesi, je kuna taratibu za kufuata ili kupata ruhusa?

Naomba kujuzwa kama mtu yoyote anaruhusiwa kuhudhuria kesi kwani lengo langu ni kujifunza na kushuhudia shughuli za mahakama.
 
Habari za jioni waungwana

Kabla sijafanya maamuzi haya, naomba kupata ushauri kutoka kwenu.

Nataka siku moja niingie mahakamani, hasa mahakama kubwa, nisikilize kesi na shughuli nyinginezo za mahakama.

Nimeona niulize kama inawezekana mtu yoyote kwenda kusikiliza kesi, je kuna taratibu za kufuata ili kupata ruhusa?

Naomba kujuzwa kama mtu yoyote anaruhusiwa kuhudhuria kesi kwani lengo langu ni kujifunza na kushuhudia shughuli za mahakama.
Unaruhusiwa ila uwe makini usije kuunganishwa na watuhumiwa maana wale askari wana uchu wa kukamatakamata
 
Mkuu wee paache tu labda uwe mwanasheria..
Kuna mambo mengine ni ya kimazingra unafika pale unakuta umeanzisha vagi bila wewe kujua
Mimi lazima niende, na siku nikienda ntapiga picha na kuleta mrejesho katika jukwaa hili
 
Back
Top Bottom