Sioni shida hata akihama dini, utakuwa mwendelezo tu wa kuzidi kuzihama dini zetu kama vile wewe ulivyoihama dini ya mababu zako na kuhamia dini za Waarabu na Wayahudi, shame!!WanaJF: Kufuatia muonekano wa picha
hapo chini nataka kujuwa kama huyu bwana mdogo Kesha badilisha Dini au ni mihemuko tu ya ujana ....???
Sent from my SM-N915G using JamiiForums mobile app
AmenWell said bro
u are the best brother,thanks for the comment.Bora abadili ili asiigize imani ambayo haendani nayo
Ok.Ukisoma bandiko langu utaona hakuna sehemu yeyote niliyotamka Ukristo unaendena na hayo ayafanyayo. Hakuna dini inayohubiri uhalifu, uzinzi na uasherati. Kama nilivyosema hapo awali huyu bwana mdogo hajitambui yeye ni dini gani
Nimekuelewa sana mkuu,great thinker.Hata kama angejitanabaisha kama Mkristo, hakuna Mkristo halisi anayeweza kufanya yale wanayofanya wanamuziki wa secular music!
Kwa mfano mmomonyoko wa maadili, uhalifu, uzinzi na uasherati vinakuzwa na wasanii hao na ni kinyume cha mafundisho ya Biblia Takatifu.
Inashangaza kuna watu wakiona watu maarufu kama diamond yuko ktk dini yao wanaona kama inawanufaisha sana!
Ndugu zangu dini/imani ni zaidi ya hivyo mnavyovidhania!
Labda kuna dini zinazosema kuwa inawezekana kuwatumikia maBwana wawili ILA SI KWA UKRISTO!
LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
Hilo ni vazi la kiafrika.Kwahiyo nikivaa baraghashia nitakua uisilam
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Upo sahihi kabisa mkuu,huyo kijana uislamu wake umebaki kwenye jina tu.Katika uislam mwanaume haruhusiwi kuvaa dhahabu..
Katika uislam kujichora tatoo ni haram ...
Kuzini ni haramu
Mambo anayoyafanya si ya kiislam sishangai kuvaa misalaba ...
Hakika huyu kijana ni moja kati ya watu waliopotea ...
Mkuu angalia video yake mpya aliyotoa siikumbuki jina ila ndo hizi shots zimetoka humo.Hilo ni vazi la kiafrika.
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Diamond hakuvaa hizo kitu ni editing tu... hawezi na hatoweza.. nachomkubali hata kama muhuni kiac gani lkn suala la kuheshimu alama za dini yake haachi..
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Duh asee niko kolomije so nimeicheki... jamaa kajivalia kweli... anyway... siri ya kuvaa anaijua yy... lkn kwa mujibu wa dini yake anajua pia...Mkuu angalia video yake mpya aliyotoa siikumbuki jina ila ndo hizi shots zimetoka humo.
Sent from my G630-U10 using JamiiForums mobile app
Iv kweli kolomije kuna mwisilam au umelogwa nambie upo kolomije kitongoji cha mwana nan?Duh asee niko kolomije so nimeicheki... jamaa kajivalia kweli... anyway... siri ya kuvaa anaijua yy... lkn kwa mujibu wa dini yake anajua pia...
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Shukrani Mkuu! Pamoja!Nimekuelewa sana mkuu,great thinker.
Vip kwa wasabato tuwaweke kundi lipi japo wao ni kristo lkn hawaamin kwenye msalaba. Nifafanulie mkuuuSidhani kama kabadilisha dini.Symbol ya msalaba ni makhsusi kwa dini ya kikristo na ina hadhi yake.Niwaombe ndugu zangu tusifanye dhihaka na vitu hivyi vya kidini....twaweza okota makopo tukidhani tumelogwa kumbe......
Ukweli sifahamu....mimi ni Muislam na nina heshimu dini zote na sipendi kabisa tena kabisa mtu kutokuheshimu dini ingine na pia sipendi malumbano ya dini.Vip kwa wasabato tuwaweke kundi lipi japo wao ni kristo lkn hawaamin kwenye msalaba. Nifafanulie mkuuu
Acha kupotosha. Soma maandiko uelewe.Mkuu
Bujibuji nakuhakikishia kuwa Yesu Kristo hahusiki na MISALABA. MSALABANI walitundikwa watu wenye matatizo, watu wenye laana, wasiofaa. Hivyo,wayahudi waliamini ndo kushusha hadhi ya Yesu. Nakuhakikishia kuwa, Yesu hakuhesabu msalaba kuwa kitu chema. Ndiyo maana akasema, "...ajitwike msalaba wake anifuate...". Yesu ndiye atakutua hilo li msalaba, maana ni kitu kisichofaaa