Je, nasi tutafika walipo Uingereza kwa sasa? Jengo la kanisa kuwa ukumbi wa kampeni za uchaguzi!

Je, nasi tutafika walipo Uingereza kwa sasa? Jengo la kanisa kuwa ukumbi wa kampeni za uchaguzi!

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Hakuna ubishi kuwa Mr Nigel Farage anafanya kampeni ya uchaguzi mkuu ambao utafanyika kesho - 12/12/2019 ndani ya jengo la kanisa. Architecture ya jengo hilo ni ya kanisa. Wamefikia hapo baada ya wengi kuelimika na tech kupanda na demokrasia kukuwa.

Je, nasi tutafika huko na haya makanisa makubwa tunachangishwa kuyajenga? Kwa nini hizo hela za kujenga makanisa makubwa zinazofikia bilioni moja tusiboreshe huduma kama elimu na afya?

 
Makanisa mengi Ulaya yamegeuzwa bar, museum, supermarket, warehouses, etc. Hilo litafika kwetu kuanzia miaka 40 hivi ijayo. Lakini kwa makanisa madogo madogo hata sasa tayari mengine yameshageuzwa kumbi za mikutano.
 
tutafika mbona na huku wanaanya sana siasa kwenye makanisa. au wewe huhudhurii?
 
Itafika lakini sio soon maana wengi wa Africans tuna nature ya kuamini na kushikilia mambo bila kuhoji chochote hata kama mambo hayaendi
 
Kama Jiwe amefanikiwa kuwatisha Makuhani wetu na kuwalazimisha kuunga juhudi zake,huenda wakaruhusu makanisa na miskiti kuwa sehemu za kuendeshea kampeni (lakini za Chama pendwa tu) 2020!
 
Tatizo huanza KANISA linapoanza kutetea maslahi na matakwa ya wanasiasa.
Na hilo Tz limeshaanza.
 
Hakuna ubishi kuwa Mr Nigel Farage anafanya kampeni ya uchaguzi mkuu ambao utafanyika kesho - 12/12/2019 ndani ya jengo la kanisa. Architecture ya jengo hilo ni ya kanisa. Wamefikia hapo baada ya wengi kuelimika na tech kupanda na demokrasia kukuwa.

Je, nasi tutafika huko na haya makanisa makubwa tunachangishwa kuyajenga? Kwa nini hizo hela za kujenga makanisa makubwa zinazofikia bilioni moja tusiboreshe huduma kama elimu na afya?


Go and read your Bible.
Maarifa yakiongezeka jua ule mwishoni umefika
 
Makanisa mengi Ulaya yamegeuzwa bar, museum, supermarket, warehouses, etc. Hilo litafika kwetu kuanzia miaka 40 hivi ijayo. Lakini kwa makanisa madogo madogo hata sasa tayari mengine yameshageuzwa kumbi za mikutano.
Uwe unasoma alafu unaelewa abdool

Architecture ya jengo hilo ni ya kanisa.
 
Back
Top Bottom