Habar wanajf
mwenzenu nina tatizo naomben ushauri, nimeoa nina mtoto mmoja lkn mazingira ya kazi yangu magumu yanapelekea kuwa na familia yangu wiki mbili katika Miezi minne, je mnahisi natimiza majukumu ya famili kweli?ushauri tafadhari wapendwa?najiona sistahili kuwa baba!
mwenzenu nina tatizo naomben ushauri, nimeoa nina mtoto mmoja lkn mazingira ya kazi yangu magumu yanapelekea kuwa na familia yangu wiki mbili katika Miezi minne, je mnahisi natimiza majukumu ya famili kweli?ushauri tafadhari wapendwa?najiona sistahili kuwa baba!