Ben Carlson
Member
- Jan 26, 2019
- 35
- 28
Jamani naomba kuuliza kama naweza chaguliwa A-level. Nimepata three ya points 25 nina C-4 za HKL pamoja na Civics D-2 ya Geo na Bio pia F-1 ya Math...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee!Kumbe jf unaweza jikuta unabishana na mwanao kabisa
Eeeeh Mungu tusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
baada ya hapo hujui hahahaha mbona unamtishaKama una C ya tahasusi husika unachaguliwa mkuu acha hofu tena hkl unaenda kutusua tu huko ila baada ya hapo sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hapooo ujui nini mwambiee ukweliiKama una C ya tahasusi husika unachaguliwa mkuu acha hofu tena hkl unaenda kutusua tu huko ila baada ya hapo sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kumtisha mkuu ndo hali halisi kama hana malengo strong huko mbele ni balaa hasa kwa artsba
baada ya hapo hujui hahahaha mbona unamtisha
Kwani Jf ya watu wa Aina gan??Kumbe jf unaweza jikuta unabishana na mwanao kabisa
Eeeeh Mungu tusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app