Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.Swali langu ni hilo tu, sina mengi. Awali ya yote natoa shukurani kwa watakaochangia.
Muelekeze sasaTayari.
Ndo naandika hapaMuelekeze sasa
Ndio,Swali langu ni hilo tu, sina mengi. Awali ya yote natoa shukurani kwa watakaochangia.
Aaah kumbe rahisi tuu, mtoa mada atakuwa kaelewaNdio,
Diego Cevallos ,
unaweza kutumia monitor ya computer kama screen ya kawaida, ila inabidi uhakikishe kama ina HDMI port au VGA. Kama monitor yako ina HDMI, mambo fresh, unachukua HDMI cable unaunganisha na king'amuzi direct. Kama ina VGA tu, utahitaji kununua adapter ya VGA to HDMI ili uunganishe king'amuzi kwenye monitor. Lakini kumbuka, monitors nyingi hazina spika, so sauti inabidi utumie external speakers au headphones.
Kama monitor ina HDMI, ni rahisi sana bro, just plug and play
.
Nilishawahi kupigiapo elf 5. Mtu hajui nikaona fursa hiiAaah kumbe rahisi tuu, mtoa mada atakuwa kaelewa
Nyongeza ya hapo, monitor imetengenezwa mtumiaji aweze kusoma details hata ndogo ila akiwa karibu.Ndio,
Diego Cevallos ,
unaweza kutumia monitor ya computer kama screen ya kawaida, ila inabidi uhakikishe kama ina HDMI port au VGA. Kama monitor yako ina HDMI, mambo fresh, unachukua HDMI cable unaunganisha na king'amuzi direct. Kama ina VGA tu, utahitaji kununua adapter ya VGA to HDMI ili uunganishe king'amuzi kwenye monitor. Lakini kumbuka, monitors nyingi hazina spika, so sauti inabidi utumie external speakers au headphones.
Kama monitor ina HDMI, ni rahisi sana bro, just plug and play
.
Mimi huwa natumia sana PC kwa muda mrefu hadi najihurumia, huwa nawaza huenda baada ya miaka 3 macho yatapata shida. Maana siku hizi hata nikiamka asubuhi nikinawa uso macho yanawasha na kuwa mekunduNyongeza ya hapo, monitor imetengenezwa mtumiaji aweze kusoma details hata ndogo ila akiwa karibu.
TV screen yake imetengenezwa mtumiaji aweze kuona details akiwa mbali kidogo. Hivyo ukiweka monitor kama mbadala wa TV jua fika hutoitumia vizuri sebuleni, na wale wanaotumia TV kuchezea games kama PS yale sio matumizi yake sahihi si ajabu macho kupata shida uko mbeleni.
Hatari sanaInawezekana na kwakua unajidai bahili sana nitakuelekeza na namna ya kufanya keyboard kuwa kinanda
Yes, unaweza.Swali langu ni hilo tu, sina mengi. Awali ya yote natoa shukurani kwa watakaochangia.
We jamaa 🏃 🏃Inawezekana na kwakua unajidai bahili sana nitakuelekeza na namna ya kufanya keyboard kuwa kinanda
PC ina unafuu kwa madhara kuliko TV ikiwq karibu. Na haujihurumii, maana huchukui hatua.Mimi huwa natumia sana PC kwa muda mrefu hadi najihurumia, huwa nawaza huenda baada ya miaka 3 macho yatapata shida. Maana siku hizi hata nikiamka asubuhi nikinawa uso macho yanawasha na kuwa mekundu
Macho kukuwasha asubuhi inategemea unalala saa ngapiMimi huwa natumia sana PC kwa muda mrefu hadi najihurumia, huwa nawaza huenda baada ya miaka 3 macho yatapata shida. Maana siku hizi hata nikiamka asubuhi nikinawa uso macho yanawasha na kuwa mekundu