Je, naweza ku update Android mpya kutoka kwenye android 7.0?

Je, naweza ku update Android mpya kutoka kwenye android 7.0?

Okay thanks so much
Bootloader kama jina lake lilivyo yenyewe inahusika na software wakati unapowasha simu, ikiwa locked ina maana software toka kwa mtengeneza simu tu ndio itatumika ila ikiwa unlocked utaweza tumia software (custom rom) mbalimbali toka kwa developers wengine tofauti na mtengeneza simu.

Kama huna matumizi yanayotaka bootloader iwe unlocked iache tu usii unlock.
 
Samsung flagship zao zote bootloader ipo unlocked ila jiepushe na samsung ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya mitandao ya marekani/china/korea hizi huwa ni pasua kichwa.

Oneplus pia zinakuwa na community kubwa na pia unaweza ku unlock bootlodear (sema inafuta kila kitu)

Simu za Google hizi pixel

Xiaomi za ulaya Kama Mi A3 na A series nyengine.

Motorola hizi G series

Sema Oneplus nairecomend zaidi sababu itakupa advantage nyengine kama Ram na storage kubwa, ambazo ni future proof.
Vipi kuhusu izi LG G—series?
 
Nashukur Sana Mungu hatimae nimepata android version 10 kweny ki Samsung galaxy A30 changu ww je
Screenshot_20200222-090042_Software%20update.jpeg
 
navyojua mm kama unataka kuupdate simu ya tecno hizi unatakiwa uroot kwanza simu yako kishandio utaweza kupata hizo update nje ya hapo sijui kama unaweza mzee wangu mm nilishawahi fanya hivyo na mm napenda sana kutumia android coz huwa na ziroot sana kuna vitu huwa natumia ndio maana nafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom