Je, naweza ku update Android mpya kutoka kwenye android 7.0?

Okay thanks so much
 
Vipi kuhusu izi LG G—series?
 
Nashukur Sana Mungu hatimae nimepata android version 10 kweny ki Samsung galaxy A30 changu ww je
 
navyojua mm kama unataka kuupdate simu ya tecno hizi unatakiwa uroot kwanza simu yako kishandio utaweza kupata hizo update nje ya hapo sijui kama unaweza mzee wangu mm nilishawahi fanya hivyo na mm napenda sana kutumia android coz huwa na ziroot sana kuna vitu huwa natumia ndio maana nafanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…