mchorazombie
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 282
- 114
habari zetu wanajamvi,mimi nimehitimu BComEducation mwaka huu ila ndoto yangu ni kuja kupata CPA, advance nimesoma ECA.
je naweza kuanza na stage ipi ?
Mkuu C na D nia mode za mtu aliyesoma diploma ya accounts km hukusoma accounts utakuwa nyuma sana tuu,, Kwanza niambie umesoma nn hiyo Bcom yako,, mkt,finance,, au accounts,,