mchorazombie
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 282
- 114
Habari zenu wanajamvi, mimi nimehitimu BCom Education mwaka huu ila ndoto yangu ni kuja kupata CPA, advance nimesoma ECA.
Je! naweza kuanza na stage ipi ?
Je! naweza kuanza na stage ipi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari zetu wanajamvi,mimi nimehitimu BComEducation mwaka huu ila ndoto yangu ni kuja kupata CPA, advance nimesoma ECA.
je naweza kuanza na stage ipi ?
Mkuu C na D nia mode za mtu aliyesoma diploma ya accounts km hukusoma accounts utakuwa nyuma sana tuu,, Kwanza niambie umesoma nn hiyo Bcom yako,, mkt,finance,, au accounts,,