Je, naweza kuishtaki serikali kwa kumuua Mwangosi?

Je, naweza kuishtaki serikali kwa kumuua Mwangosi?

Crucifix

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2011
Posts
1,655
Reaction score
592
Baada ya kuona ripoti mbili uchwara (ile ya MCT na ya Ihema) ninashawishika kufuata nyayo za Mtikila kuiburuza serikali kwa pilato. Bila kuchukua hatua thabiti mambo haya yataendelea kuwepo sana kama alivyoainisha Manumba kule Iringa. Wadau nipeni ushauri na taasisi ninayoweza kuishirikisha maana mambo haya pia hayataki kuingia kichwa kichwa. JF muongozo......
 
Back
Top Bottom