suma Nongwa
Member
- Sep 12, 2017
- 97
- 47
Kisheria mkuu mmiiliki wa kampuni anatakiwa awe na umri wa miaka 18 na kuendelea pia awe na I'd ya nida km ni mtanzania km ni raia wa nchi nyingne awe na hati ya kusafiria
Kwa hali hyo km mtoto wako bdo hajafika umri wa 18 hana sifa ya kuwa shareholder
Ushauri wangu kwa maslahi ya ustawi wa company hakuna haja ya kumuweka mchumba wako km shareholder cha kufanya ni hiki
Chukua baadhi ya share ziwe zako mfno labda 40 shares zinazobaki ziache ktk company km umekosa mtu sahihi wa kumpa
Mana inawezekana ukapta muwekezaji mkakubaliana kumpa shares na kuendeleza company yenu
Penye mapungufu wataongeza wachangiaji wengine
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hali hyo km mtoto wako bdo hajafika umri wa 18 hana sifa ya kuwa shareholder
Ushauri wangu kwa maslahi ya ustawi wa company hakuna haja ya kumuweka mchumba wako km shareholder cha kufanya ni hiki
Chukua baadhi ya share ziwe zako mfno labda 40 shares zinazobaki ziache ktk company km umekosa mtu sahihi wa kumpa
Mana inawezekana ukapta muwekezaji mkakubaliana kumpa shares na kuendeleza company yenu
Penye mapungufu wataongeza wachangiaji wengine
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app