kapama shauritanga
Member
- Jul 8, 2014
- 74
- 7
nimemaliza form six 2014 nimepata C, B, B, kwa comb ya PCB respectively .
Unaweza kupata,competition matters hapo
...ndio inawezekana...but competition ya muhas huwa n kubwa sana almost kila mwaka especialy kwa pharmacy and M.D..kwa marks zako hizo uwezekano uwezekano wa kuhmil compettn n mdogo sana..mwaka jana mie nliomba pale m.d and bpharmacy nikiwa na two ya 11 bt they kicked me out...labda kwa ushauri tu kama ndoto zako ni kuwa doctor au pharmast apply udom,cuhas,kcmc and the like...and kingne jarb kuwa flexible,usilazmishe kusoma md au pharm tu...hii kitu ilinicost sana mie...nipm 4 more info
Kwa mwaka huu izo point sina uhakika sana kwn umetembelea profile lako la TCU wamekwambia nn