Northern Eagle
Member
- Dec 9, 2018
- 66
- 52
Zipige kiberiti tuu mkuu hazitorud tenaaHabari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi nywele zisiote tena naombeni tufahamishane wakuu maana muda mwingine zinakera sana.
Watoto wakike tunazielewaHabari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi nywele zisiote tena naombeni tufahamishane wakuu maana muda mwingine zinakera sana.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlete kwangu nnaZo kama zotee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Zipige kiberiti tuu mkuu hazitorud tenaa
Habari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi nywele zisiote tena naombeni tufahamishane wakuu maana muda mwingine zinakera sana.
😀😀 yajayo yanafurahisha,,,,Kuna baadhi ya salon wanazinyofoa kwa mtindo wa kubandika aina fulani ya masking tape yenye gundi inayoshika sana kisha wanaivita kwa haraka kama vile wanachana mfuko wa saruji chraaaaaa( zinang'oka) lakini huwa zinaota tena baada ya muda
Mkuu mimi naona utanielewa zaidi Nina GARDEN LOVE kifuani zimezunguka shingoni hadi MGONGONI...njoo inbox tuyajenge
Kumbe mnazipenda ntaanza kuzifugaNashukuru sina hizo.
Ni watu wachache sana wenye nazo.
Napenda sana za WALIMBWENDE pale kuanzia kwenye KINENA mpaka kuja juu KITOVUNI.
Sema tatizo katika WALIMBWENDE kumi unaweza usibahatike kuziona hata kwa mmoja.
ADIMU sana
Unajitafutia matatizo mkuu, hizo nywele zina kazi yake kiafya. Mungu hajaweka kama uremboHabari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi nywele zisiote tena naombeni tufahamishane wakuu maana muda mwingine zinakera sana.
Kitaalamu inaitwa hormon imbalance anakuwa na hormoni za kiumeKuna madem wanazo sielewag kbsa dem unakiwa nywele kifuani
Wewe utakua mvulana bila shaka......ndio umeandika kitu gani sasa ??? Jaribu kumwagia maji ya betri mkuu[emoji23]Habari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi nywele zisiote tena naombeni tufahamishane wakuu maana muda mwingine zinakera sana.