Je, naweza kuzuia nywele za kifuani au 'garden love' zisiote?

Je, naweza kuzuia nywele za kifuani au 'garden love' zisiote?

Kuna baadhi ya salon wanazinyofoa kwa mtindo wa kubandika aina fulani ya masking tape yenye gundi inayoshika sana kisha wanaivita kwa haraka kama vile wanachana mfuko wa saruji chraaaaaa( zinang'oka) lakini huwa zinaota tena baada ya muda
Inaitwa Waxing! Ni nzuri..inafanya nywele zichelewe kuota kama miezi miwili mpaka mitatu..ni nzuri waxing pia Kwa sehemu nyingine!
 
Zinakera ikiwa zimeota HOVYO HOVYO.. yaaan hazijafuata mtiririko kutoka usawa wa shingoni (chini ya shingo) mpka kitovuni.. Kisha kimstari kushuka hadi katik Mashine.. Huo ndio uotaji wa Garden.. Na sio ziote Kwenye mbavu sijui mgongoni ..

Mtoto wa kiume kunyoa Garden ni Ushoga unakunyemelea kidogo kidogo..
Habari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi nywele zisiote tena naombeni tufahamishane wakuu maana muda mwingine zinakera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinakera ikiwa zimeota HOVYO HOVYO.. yaaan hazijafuata mtiririko kutoka usawa wa shingoni (chini ya shingo) mpka kitovuni.. Kisha kimstari kushuka hadi katik Mashine.. Huo ndio uotaji wa Garden.. Na sio ziote Kwenye mbavu sijui mgongoni ..

Mtoto wa kiume kunyoa Garden ni Ushoga unakunyemelea kidogo kidogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀
 
Naomben na mm jibu coz I have a lot of hairs🥺 kifuani tumbon na ndevu na wanasema nisionyoe
 
Niliambiwa ndo alama mojawapo ya jinsia mimi ninazo sijawah kunyoa tangu zmeanza madem wanazipenda japo sisi tunaona zmekaa kiwaki
 
Mwanaume wa kweli lazima uwe na manyoya ya kutosha.

Na vip jinsi ya kupunguza vinyweleo puani? Vinapunguzwa vipi?si kutoa kabisa la hasha nataka kupunguza kama vinazidi.
 
Back
Top Bottom