Bepari la ukweli
Member
- Apr 12, 2013
- 63
- 15
- Thread starter
-
- #21
hasante kwa ushauri,je naweza nkapata mawasiliano yao?samahan kwa usumbufuPole nenda Mvumi Dodoma wapo vizuri Sana kwenye macho na jicho bei ni 20,000
Mkuu mboni au jicho.Nenda CCBRT IPO msasani dar au nenda China wana ujuzi wa kuweka mboni ya nguruwe.
Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
ni jichoMkuu mboni au jicho.
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Inakuwaje kama huamini huyo mnyamaNenda CCBRT IPO msasani dar au nenda China wana ujuzi wa kuweka mboni ya nguruwe.
Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
Madaktari wengi wamekariri tu hawana utaalam.Pole mkuu,nenda CCBRT Dar,ila madaktari wa siku hizi wana roho mbaya sana,hivi kweli unamfanyia mtu operation,ina maana ana ufahamu mkubwa hata wa upatikanaji wa macho ya bandia ,unamuacha mgonjwa anatoka hospitali anaingia mtaani kuanza kuulizia watu wengine wakati yeye aliepo kwenye hiyo fani ndio angepaswa kuwa msaada mkubwa kwa mgonjwa.Hii sio nzuri,kutoka kwa jicho kungepaswa kuwepo na counciling ya hali ya juu sana ukichukulia kuwa halitarudi tena.
Bila shaka ushauri huo haukutolewa na wale wazungu.Madaktari wetu wanawaza pesa tu ukiumia kidogo mguu hawaumizi kichwa wanakuanbia mguu ukatwe kusolve tatizo.
Mimi nina ndugu yangu aliamka na kujikuta jicho linauma kaenda ccbrt anaambiwa kuna kidonda ndani na kinazidi kuchimba kuelekea ndani zaidi hivyo wakashauri atolewe jasho.
Wakamtoa na hazikupita siku nyingi akafariki.
Sent from my Philips savy
I
Umejiuliza pia kuhusu wasabato, jews na hindu na budha ?niliwahi kuona uzi humu ukisema jicho la nguruwe likipachikwa huwa linaona, wachina ndio wavumbuzi wa hiyo teknolojia, sasa nikajiuliza kwa wenzangu waislamu hapa inakuwaje aisee
Duuuuh mkuu wakalipeleka wapi jasho walivyolitoa,,,,,,,Madaktari wetu wanawaza pesa tu ukiumia kidogo mguu hawaumizi kichwa wanakuanbia mguu ukatwe kusolve tatizo.
Mimi nina ndugu yangu aliamka na kujikuta jicho linauma kaenda ccbrt anaambiwa kuna kidonda ndani na kinazidi kuchimba kuelekea ndani zaidi hivyo wakashauri atolewe jasho.
Wakamtoa na hazikupita siku nyingi akafariki.
Sent from my Philips savy
I