Je, naweza nikapata jicho la bandia? Naweza nikalipata wapi na kwa gharama ya sh ngapi?

Je, naweza nikapata jicho la bandia? Naweza nikalipata wapi na kwa gharama ya sh ngapi?

Nenda CCBRT IPO msasani dar au nenda China wana ujuzi wa kuweka mboni ya nguruwe.

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
Mkuu mboni au jicho.

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
kwanza mshukuru MUNGU umenusurika mkuu na ajali! pole sana jaman yaan nimesisimka! sikia ajali tu jaman! pole tena! hope utapata msaada!
 
Sheria imeruhusu kwenye dharura nguruwe atumike.Isitoshe DNA za nguruwe huondolewa kabla hujawekewa mboni hiyo.

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Pole mkuu,nenda CCBRT Dar,ila madaktari wa siku hizi wana roho mbaya sana,hivi kweli unamfanyia mtu operation,ina maana ana ufahamu mkubwa hata wa upatikanaji wa macho ya bandia ,unamuacha mgonjwa anatoka hospitali anaingia mtaani kuanza kuulizia watu wengine wakati yeye aliepo kwenye hiyo fani ndio angepaswa kuwa msaada mkubwa kwa mgonjwa.Hii sio nzuri,kutoka kwa jicho kungepaswa kuwepo na counciling ya hali ya juu sana ukichukulia kuwa halitarudi tena.
Madaktari wengi wamekariri tu hawana utaalam.
 
Madaktari wetu wanawaza pesa tu ukiumia kidogo mguu hawaumizi kichwa wanakuanbia mguu ukatwe kusolve tatizo.

Mimi nina ndugu yangu aliamka na kujikuta jicho linauma kaenda ccbrt anaambiwa kuna kidonda ndani na kinazidi kuchimba kuelekea ndani zaidi hivyo wakashauri atolewe jasho.
Wakamtoa na hazikupita siku nyingi akafariki.

Sent from my Philips savy
I
Bila shaka ushauri huo haukutolewa na wale wazungu.
 
Katika uzi ambao nimeusoma kwa uchungu tokea nijiunge na JF ni huu hapa! pole sana.
 
niliwahi kuona uzi humu ukisema jicho la nguruwe likipachikwa huwa linaona, wachina ndio wavumbuzi wa hiyo teknolojia, sasa nikajiuliza kwa wenzangu waislamu hapa inakuwaje aisee
Umejiuliza pia kuhusu wasabato, jews na hindu na budha ?

Sent from my SM-J120H using JamiiForums mobile app
 
Madaktari wetu wanawaza pesa tu ukiumia kidogo mguu hawaumizi kichwa wanakuanbia mguu ukatwe kusolve tatizo.

Mimi nina ndugu yangu aliamka na kujikuta jicho linauma kaenda ccbrt anaambiwa kuna kidonda ndani na kinazidi kuchimba kuelekea ndani zaidi hivyo wakashauri atolewe jasho.
Wakamtoa na hazikupita siku nyingi akafariki.

Sent from my Philips savy
I
Duuuuh mkuu wakalipeleka wapi jasho walivyolitoa,,,,,,,

Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kaka. Mungu azidi kukupa faraja.
 
Back
Top Bottom