abdala pembe
Member
- Aug 31, 2018
- 6
- 3
mimi ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka jana nimesoma masomo ya art lakini nahitaji kusomea information technology,je naweza nikasomea ikiwa mimi ni mwana arts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa mimi math nina D HAWAWEZI WAKANICHUKUA KWELI?Hauwezi kwakuwa inabidi angalau uwe umefaulu Physics na Maths.
Lakini kwa vyuo vya kikanjanja inawezekana. Jaribu bahati yako.
Kama diploma udom utasoma pia lakin degre hapan sina uhakikmimi ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka jana nimesoma masomo ya art lakini nahitaji kusomea information technology,je naweza nikasomea ikiwa mimi ni mwana arts
Acha kumdanganya mwenzio...mbona mimi nimechaguliwa OUT kusoma COMPUTER SCIENCE diploma....wakati Math..nina F...Physcis nina Dkaka kama una d ya math o level na english olevel ulipass vizur unasoma IT katika vyuo vya NIT, OUT, NA CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR ila mwenye f ya math asahau kusoma IT hope nimekusaidia ALL THE BEST