Banki lazima uwe nawa zamini jumlisha na zamana. Gari sizani kama wazamini wanahitajikaVigezo vya kukopa gari ndiyo hivyo hivyo vya kukopa benki.Kwa nn usikope benki ukanunua gari?.
Labda nikwaajili ya biashara UBER, ao. TAXIF?ukipata ajal na mkopo hujamaliza kulipa ?? kitu hakiingizi pesa unataka kopa?? kumbuka wakat huo utaweka kitu bondi....we jichange ukifikisha hiyo uagize gari kwa bajet yako hiyo unaeza pata passo na duet