wanajamvi nilipata ajali ya jicho utotoni nilichomwa na katani jichoni,nilikimbizwa hospitali ya Nkinga nikapata operation pale lakin baada ya hapo jicho langu lilikaa upande na hivi sasa ninaonekana kama nina makengeza!So nikua na nina miaka ishirini na nne nataka kama kunauwezekano nifanyiwe oparation tena!Je naweza kufanyiwa operation na jicho likakaa sawa??na niende hospital gani??