Je, nawezaje kujikwamua kwa Vifaa hivi na kiasi cha pesa?

Je, nawezaje kujikwamua kwa Vifaa hivi na kiasi cha pesa?

Gavinci

Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
48
Reaction score
45
Habari zenu wakuu,

Najua fika kua jukwaa hili limejaa watu werevu na wenye uzoefu tofaut tofaut kwenye sekta ya ujasiriamali, hivyo ndugu zanguni nimekuja kuomba mawazo yenu ili niwezepata muongozo.

Hapa nilipo nina freezer boss lita150, nina kabati la vioo yale ya chips saiz ya kati, nina mzani ile ya dukani, na nina cash ya laki mbili na nusu ( Tsh 250,000/= ).

Nilikua naomba wazo jinsi ya kuibalance hiyo hela kulingana na vifaa nilivyo navyo ili kuweza kuingiza kipato, hata kama ni kifaa kimojawapo au vyote kulingana na uzeoef wenu wakuu.

NB: vifaa hvyo nilikua nanunua tu nilipopata visenti nikiwa kibaruani nikiamini siku moja vitakuja kunipiga tafu. Leo hii kibarua kimekwisha na hivyo ndo nilivyo navyo. Mimi ni mkazi wa mabibo luanga.

Nakaribisha mawazo yenu wakuu.

Akhsante.
 
Nunua blender heavy duty inauzwa 65000 kwa Agiza nasi waangalie instagram halaf tengeneza juice za matunda, na hilo kabati kama huna mtaji wa kuuza chips unaweza kuchoma au kukaanga ndizi mzuzu na mishikaki ile ya miatano kama wanavyouza vijana wa kariakoo wanatumia mkokoten unaotembea usianze na frem na location ya kuuza ni huko mabibo sokon au chuo cha NIT si kila mwanafunzi ana hela ya kula chips
 
Nunua blender heavy duty inauzwa 65000 kwa Agiza nasi waangalie instagram halaf tengeneza juice za matunda, na hilo kabati kama huna mtaji wa kuuza chips unaweza kuchoma au kukaanga ndizi mzuzu na mishikaki ile ya miatano kama wanavyouza vijana wa kariakoo wanatumia mkokoten unaotembea usianze na frem na location ya kuuza ni huko mabibo sokon au chuo cha NIT si kila mwanafunzi ana hela ya kula chips
Shukran kwa ushauri mzuri mkuu, ntaufanyia kazi
 
tumia kabat kwa kukaanga miogo, pesa ulionao nunua karai, mafuta kindoo, na mtaji wamihogo weka kama elfu kumi tu. friji weka juice ya matunda, weka maji ya kandoro, kisha anza biashara. nakuhakikishia elfu kumi kwa siku ukosi kwa siku. wabilah taufiq
 
tumia kabat kwa kukaanga miogo, pesa ulionao nunua karai, mafuta kindoo, na mtaji wamihogo weka kama elfu kumi tu. friji weka juice ya matunda, weka maji ya kandoro, kisha anza biashara. nakuhakikishia elfu kumi kwa siku ukosi kwa siku. wabilah taufiq
Asante sana mkuu, nimekupata vyema
 
tumia kabat kwa kukaanga miogo, pesa ulionao nunua karai, mafuta kindoo, na mtaji wamihogo weka kama elfu kumi tu. friji weka juice ya matunda, weka maji ya kandoro, kisha anza biashara. nakuhakikishia elfu kumi kwa siku ukosi kwa siku. wabilah taufiq
Msimu wa mihogo umeisha
 
Mkuu nenda Ruvu fatilia kuhusu upatikanaji wa maziwa, then uje uyatengeneze uwe unagandisha unauza mgando, na watakaohitaji fresh pia uza, hasa wanafunzi wa chuo wanakunywa sana maziwa
 
Mkuu nenda Ruvu fatilia kuhusu upatikanaji wa maziwa, then uje uyatengeneze uwe unagandisha unauza mgando, na watakaohitaji fresh pia uza, hasa wanafunzi wa chuo wanakunywa sana maziwa
Shukran mkuu, hivi ruvu bei ni inakua afadhal kdgo, maana hii ya maziwa huwa naiwaziaga pia, ila ndo sikua na taarifa sahih
 
tumia kabat kwa kukaanga miogo, pesa ulionao nunua karai, mafuta kindoo, na mtaji wamihogo weka kama elfu kumi tu. friji weka juice ya matunda, weka maji ya kandoro, kisha anza biashara. nakuhakikishia elfu kumi kwa siku ukosi kwa siku. wabilah taufiq
Allah akuafanyie wepesi nawe katika kumsaidia wazo lilikuwa bora na zuri
 
Habari zenu wakuu,

Najua fika kua jukwaa hili limejaa watu werevu na wenye uzoefu tofaut tofaut kwenye sekta ya ujasiriamali, hivyo ndugu zanguni nimekuja kuomba mawazo yenu ili niwezepata muongozo.

Hapa nilipo nina freezer boss lita150, nina kabati la vioo yale ya chips saiz ya kati, nina mzani ile ya dukani, na nina cash ya laki mbili na nusu ( Tsh 250,000/= ).

Nilikua naomba wazo jinsi ya kuibalance hiyo hela kulingana na vifaa nilivyo navyo ili kuweza kuingiza kipato, hata kama ni kifaa kimojawapo au vyote kulingana na uzeoef wenu wakuu.

NB: vifaa hvyo nilikua nanunua tu nilipopata visenti nikiwa kibaruani nikiamini siku moja vitakuja kunipiga tafu. Leo hii kibarua kimekwisha na hivyo ndo nilivyo navyo. Mimi ni mkazi wa mabibo luanga.

Nakaribisha mawazo yenu wakuu.

Akhsante.
Fanya hivi,ongea na wamama wanaotengeneza vitafunwa kama chapati,maandazi,bagia,vitumbuan.k,hivyo vitafunwa utaviweka kwenye kabati.
Nunua maziwa fresh uwe unauza glass 1000 yaliochemshwa,hapo utatumia kama 25000,jiko dogo la ges na safuria kubwa itakutoka kama 50000 hela iliyobaki tafuta eneo barabarani piga nguzo nne na bati juu, tengeneza mabenchi na meza za kienyeji kwa siku mpe mwenye eneo 1000 nakuhakikishia kwa siku hukosi 25000,pambana kwa miezi 3 ukipata ela panga frem,watu asubuhi wanatafuta kifungua kinywa kama maziwa
 
Fanya hivi,ongea na wamama wanaotengeneza vitafunwa kama chapati,maandazi,bagia,vitumbuan.k,hivyo vitafunwa utaviweka kwenye kabati.
Nunua maziwa fresh uwe unauza glass 1000 yaliochemshwa,hapo utatumia kama 25000,jiko dogo la ges na safuria kubwa itakutoka kama 50000 hela iliyobaki tafuta eneo barabarani piga nguzo nne na bati juu, tengeneza mabenchi na meza za kienyeji kwa siku mpe mwenye eneo 1000 nakuhakikishia kwa siku hukosi 25000,pambana kwa miezi 3 ukipata ela panga frem,watu asubuhi wanatafuta kifungua kinywa kama maziwa
Nashukuru kwa wazo zuri kiongozi, hakika umezidi kunipa mwangaza
 
Nunua blender heavy duty inauzwa 65000 kwa Agiza nasi waangalie instagram halaf tengeneza juice za matunda, na hilo kabati kama huna mtaji wa kuuza chips unaweza kuchoma au kukaanga ndizi mzuzu na mishikaki ile ya miatano kama wanavyouza vijana wa kariakoo wanatumia mkokoten unaotembea usianze na frem na location ya kuuza ni huko mabibo sokon au chuo cha NIT si kila mwanafunzi ana hela ya kula chips

Umetisha sanaaaa.......

#YNWA
 
Back
Top Bottom