Je, ndani ya Serikali ya Awamu ya Tano yumo mtu au watu wenye gubu?

Je, ndani ya Serikali ya Awamu ya Tano yumo mtu au watu wenye gubu?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Gubu ni neno la kiswahili ambalo tafsiri yake ni mtu kuwa na hasira na kupaniki hovyo hata kwa jambo ambalo ni la kawaida. Mtu huyo mara nyingi ni mgomvi mgomvi, mlalamishi, anayenuna nuna hasa pale anapoelekezwa jambo, kuadhibiwa kwa kosa lake au kuonywa! Hivyo gubu siyo tusi.

Sasa basi kutokana na "trend" ya maugomvi, visa, watu hasa vijana wadogo kuwekwa mahabusu kwa vijikesi vya ajabu ajabu, ugomvi na majirani kwa vitu ambavyo mkikaa chini mnavimaliza! Je, wapo watu au mtu ambaye ana nguvu ndani ya mfumo mwenye gubu?

Chukulia mfano huko Singida vijana wadogo wa CHADEMA wamekamatwa ila kila siku ya kesi yao wao lazima kitoke kisingizio ooh mara hivi mara vile yani ilimradi kuwakomoa tu na zaidi ya wiki mbili sasa wapo mahabusu. Kosa lenyewe eti walipandisha bendera ya CHADEMA huku wakiimba wimbo wa taifa. Haki ya mtume wallah!

Mfano mwingine ni sakata la ujirani na Kenya. Wao Kenya walitoa tangazo lao la kwanza kuwa wataruhusu watu wa mataifa 11 kwa hatua ya awali kuingia nchini humo. Yamo mataifa mengi tuu ikiwemo Marekani wamepigwa pin kuingia humo na wameheshimu kwakuwa wanajua maana yake! Ila sisi sasa, yani hata masaa12 hayajafika tayari tunarusha mijiwe "full" mvurugano bila tungamo. Ona walivyorudi na staili nyingine tunaonekana ni watu tusio na uvumilivu, wala majadiliano "Yaani GUBU"

Mtu akikosoa kidogo tu tena kwa mambo yenye uhalisia kinachofuata ni adhabu! Ukiwa mfanyakazi au mfanyabiashara halafu uwe against CCM "ADHABU" Hii kama siyo "GUBU" ndani ya huu utawala wa awamu ya tano ni nini? Ukiongea ukweli mchungu kwa serikali adhabu na tena utakuwa unaandamwa kila siku!

Narudia tena, Gubu siyo tusi bali ni neno linaloelezea tabia ya mtu kuwa na visasi vibaya na mlalamishi!
 
Kukosekana civilization miongoni mwa watu fulani ni sehemu ya tatizo.
 
Mzee baba ndiye hasa mwenye GUBU. Na hilo nimewahi kulisema sana miaka ya 2016-17 baada ya kumchunguza sana tabia zake.
Gubu linapelekea mtu kupenda kusakama sakama wengine kwa maneno hasa wale anaojua hawawezi kumjibu
 
Kweli hata nyinyi mna GUBU, kutwa kucha kumsema MAGUFULI kisa mnaona hawezi kuwajibu, pitia nyuzi kumi kwa siku, saba lazima mumseme MAGUFULI, kama sio GUBU ni nini?
Mzee baba ndiye hasa mwenye GUBU. Na hilo nimewahi kulisema sana miaka ya 2016-17 baada ya kumchunguza sana tabia zake.
Gubu linapelekea mtu kupenda kusakama sakama wengine kwa maneno hasa wale anaojua hawawezi kumjibu
 
Gubu ni neno la kiswahili ambalo tafsiri yake ni mtu kuwa na hasira na kupaniki hovyo hata kwa jambo ambalo ni la kawaida. Mtu huyo mara nyingi ni mgomvi mgomvi, mlalamishi, anayenuna nuna hasa pale anapoelekezwa jambo, kuadhibiwa kwa kosa lake au kuonywa! Hivyo gubu siyo tusi.

Sasa basi kutokana na "trend" ya maugomvi, visa, watu hasa vijana wadogo kuwekwa mahabusu kwa vijikesi vya ajabu ajabu, ugomvi na majirani kwa vitu ambavyo mkikaa chini mnavimaliza! Je, wapo watu au mtu ambaye ana nguvu ndani ya mfumo mwenye gubu?

Chukulia mfano huko Singida vijana wadogo wa CHADEMA wamekamatwa ila kila siku ya kesi yao wao lazima kitoke kisingizio ooh mara hivi mara vile yani ilimradi kuwakomoa tu na zaidi ya wiki mbili sasa wapo mahabusu. Kosa lenyewe eti walipandisha bendera ya CHADEMA huku wakiimba wimbo wa taifa. Haki ya mtume wallah!

Mfano mwingine ni sakata la ujirani na Kenya. Wao Kenya walitoa tangazo lao la kwanza kuwa wataruhusu watu wa mataifa 11 kwa hatua ya awali kuingia nchini humo. Yamo mataifa mengi tuu ikiwemo Marekani wamepigwa pin kuingia humo na wameheshimu kwakuwa wanajua maana yake! Ila sisi sasa, yani hata masaa12 hayajafika tayari tunarusha mijiwe "full" mvurugano bila tungamo. Ona walivyorudi na staili nyingine tunaonekana ni watu tusio na uvumilivu, wala majadiliano "Yaani GUBU"

Mtu akikosoa kidogo tu tena kwa mambo yenye uhalisia kinachofuata ni adhabu! Ukiwa mfanyakazi au mfanyabiashara halafu uwe against CCM "ADHABU" Hii kama siyo "GUBU" ndani ya huu utawala wa awamu ya tano ni nini? Ukiongea ukweli mchungu kwa serikali adhabu na tena utakuwa unaandamwa kila siku!

Narudia tena, Gubu siyo tusi bali ni neno linaloelezea tabia ya mtu kuwa na visasi vibaya na mlalamishi!

Kuhusu wakenya hapo umeongea utopolo kama vipi omba uwe mkenya, mbona tunawatanzania mbwa kiasi hiki, vitu msivyovijua kaeni kimya, na kama huna uzalendo na Tanzania kaa kimya. Don't cross the red line by being against the state on pertinent issues.
 
Yaani wanapandisha bendera ya chama huku wanaimba wimbo wa taifa unaona siyo issue? Hivi mkishakuwa wanasiasa akili zinahama au nini?

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
BAWACHA kila mkiamka nyie na MAGUFULI tu, hamna kazi za kufanya? Kama mnaipenda sana Kenya si muhamie huko? WAKIMWAGA MBOGA SISI TUNAMWAGA UGALI
Wapi Magufuli ametajwa?
 
Gubu ni neno la kiswahili ambalo tafsiri yake ni mtu kuwa na hasira na kupaniki hovyo hata kwa jambo ambalo ni la kawaida. Mtu huyo mara nyingi ni mgomvi mgomvi, mlalamishi, anayenuna nuna hasa pale anapoelekezwa jambo, kuadhibiwa kwa kosa lake au kuonywa! Hivyo gubu siyo tusi.

Sasa basi kutokana na "trend" ya maugomvi, visa, watu hasa vijana wadogo kuwekwa mahabusu kwa vijikesi vya ajabu ajabu, ugomvi na majirani kwa vitu ambavyo mkikaa chini mnavimaliza! Je, wapo watu au mtu ambaye ana nguvu ndani ya mfumo mwenye gubu?

Chukulia mfano huko Singida vijana wadogo wa CHADEMA wamekamatwa ila kila siku ya kesi yao wao lazima kitoke kisingizio ooh mara hivi mara vile yani ilimradi kuwakomoa tu na zaidi ya wiki mbili sasa wapo mahabusu. Kosa lenyewe eti walipandisha bendera ya CHADEMA huku wakiimba wimbo wa taifa. Haki ya mtume wallah!

Mfano mwingine ni sakata la ujirani na Kenya. Wao Kenya walitoa tangazo lao la kwanza kuwa wataruhusu watu wa mataifa 11 kwa hatua ya awali kuingia nchini humo. Yamo mataifa mengi tuu ikiwemo Marekani wamepigwa pin kuingia humo na wameheshimu kwakuwa wanajua maana yake! Ila sisi sasa, yani hata masaa12 hayajafika tayari tunarusha mijiwe "full" mvurugano bila tungamo. Ona walivyorudi na staili nyingine tunaonekana ni watu tusio na uvumilivu, wala majadiliano "Yaani GUBU"

Mtu akikosoa kidogo tu tena kwa mambo yenye uhalisia kinachofuata ni adhabu! Ukiwa mfanyakazi au mfanyabiashara halafu uwe against CCM "ADHABU" Hii kama siyo "GUBU" ndani ya huu utawala wa awamu ya tano ni nini? Ukiongea ukweli mchungu kwa serikali adhabu na tena utakuwa unaandamwa kila siku!

Narudia tena, Gubu siyo tusi bali ni neno linaloelezea tabia ya mtu kuwa na visasi vibaya na mlalamishi!
Wewe ni MBWA na MPUMBAVU, juzi Kenya ilitoa list yenye nchi 11 zilizopewa go ahead kuingia Kenya. Ukaanzisha thread humu heading ni Ndege za Tanzania zazuiwa kuingia anga la Kenya huku ukijua hawajatamka hivyo. TCAA wamejibu mapigo juzi usiku Leo unakuja na UPUMBAVU wako humu eti GUBU. Hivi kwa akili yako timamu unajiona upo salama saaana kushinda unaletaleta uzushi mitandaoni 24/7??,. Unapata faida gani ku spin stories humu mitandaoni!??. Kama inakulipa sana endelea Ila nina uhakika hata wanaokutuma watakuruka tu muda sio mrefu. Yupo wapi boss wenu Kigogo2014?
 
Wewe ni MBWA na MPUMBAVU, juzi Kenya ilitoa list yenye nchi 11 zilizopewa go ahead kuingia Kenya. Ukaanzisha thread humu heading ni Ndege za Tanzania zazuiwa kuingia anga la Kenya huku ukijua hawajatamka hivyo. TCAA wamejibu mapigo juzi usiku Leo unakuja na UPUMBAVU wako humu eti GUBU. Hivi kwa akili yako timamu unajiona upo salama saaana kushinda unaletaleta uzushi mitandaoni 24/7??,. Unapata faida gani ku spin stories humu mitandaoni!??. Kama inakulipa sana endelea Ila nina uhakika hata wanaokutuma watakuruka tu muda sio mrefu. Yupo wapi boss wenu Kigogo2014?
Ina vitisho vya kitoto kweli kweli!
 
Wewe ni MBWA na MPUMBAVU, juzi Kenya ilitoa list yenye nchi 11 zilizopewa go ahead kuingia Kenya. Ukaanzisha thread humu heading ni Ndege za Tanzania zazuiwa kuingia anga la Kenya huku ukijua hawajatamka hivyo. TCAA wamejibu mapigo juzi usiku Leo unakuja na UPUMBAVU wako humu eti GUBU. Hivi kwa akili yako timamu unajiona upo salama saaana kushinda unaletaleta uzushi mitandaoni 24/7??,. Unapata faida gani ku spin stories humu mitandaoni!??. Kama inakulipa sana endelea Ila nina uhakika hata wanaokutuma watakuruka tu muda sio mrefu. Yupo wapi boss wenu Kigogo2014?
Broo taratibu basi pooovu ukweli usisemwe,l
 
Wewe ni MBWA na MPUMBAVU, juzi Kenya ilitoa list yenye nchi 11 zilizopewa go ahead kuingia Kenya. Ukaanzisha thread humu heading ni Ndege za Tanzania zazuiwa kuingia anga la Kenya huku ukijua hawajatamka hivyo. TCAA wamejibu mapigo juzi usiku Leo unakuja na UPUMBAVU wako humu eti GUBU. Hivi kwa akili yako timamu unajiona upo salama saaana kushinda unaletaleta uzushi mitandaoni 24/7??,. Unapata faida gani ku spin stories humu mitandaoni!??. Kama inakulipa sana endelea Ila nina uhakika hata wanaokutuma watakuruka tu muda sio mrefu. Yupo wapi boss wenu Kigogo2014?
Mpuuzi sana huyo jamaa, Kenya walivyoiacha Tanzania kwenye zile nchi 11 zinazoruhusiwa kuingia Kenya alishangilia sana, jana tumelipiza kisasi kuzuia ndege za Kenya kuingia Tanzania anasema Tanzania ina gubu, jamaa anajielewa kweli huyu? Anataka tunyamazie Upuuzi wa Wakenya wenzake?
 
BAWACHA kila mkiamka nyie na MAGUFULI tu, hamna kazi za kufanya? Kama mnaipenda sana Kenya si muhamie huko? WAKIMWAGA MBOGA SISI TUNAMWAGA UGALI
Umepigilia kwenye msumari.
 
Kuhusu wakenya hapo umeongea utopolo kama vipi omba uwe mkenya, mbona tunawatanzania mbwa kiasi hiki, vitu msivyovijua kaeni kimya, na kama huna uzalendo na Tanzania kaa kimya. Don't cross the red line by being against the state on pertinent issues.
Hizi ndo gubu zenyewe anazosema mtoa mada.ole wake mtu apishane na wewe njiani Kisha ateme mate hata kwa sababu zisizohusiana na wewe,
 
Gubu ni neno la kiswahili ambalo tafsiri yake ni mtu kuwa na hasira na kupaniki hovyo hata kwa jambo ambalo ni la kawaida. Mtu huyo mara nyingi ni mgomvi mgomvi, mlalamishi, anayenuna nuna hasa pale anapoelekezwa jambo, kuadhibiwa kwa kosa lake au kuonywa! Hivyo gubu siyo tusi.

Sasa basi kutokana na "trend" ya maugomvi, visa, watu hasa vijana wadogo kuwekwa mahabusu kwa vijikesi vya ajabu ajabu, ugomvi na majirani kwa vitu ambavyo mkikaa chini mnavimaliza! Je, wapo watu au mtu ambaye ana nguvu ndani ya mfumo mwenye gubu?

Chukulia mfano huko Singida vijana wadogo wa CHADEMA wamekamatwa ila kila siku ya kesi yao wao lazima kitoke kisingizio ooh mara hivi mara vile yani ilimradi kuwakomoa tu na zaidi ya wiki mbili sasa wapo mahabusu. Kosa lenyewe eti walipandisha bendera ya CHADEMA huku wakiimba wimbo wa taifa. Haki ya mtume wallah!

Mfano mwingine ni sakata la ujirani na Kenya. Wao Kenya walitoa tangazo lao la kwanza kuwa wataruhusu watu wa mataifa 11 kwa hatua ya awali kuingia nchini humo. Yamo mataifa mengi tuu ikiwemo Marekani wamepigwa pin kuingia humo na wameheshimu kwakuwa wanajua maana yake! Ila sisi sasa, yani hata masaa12 hayajafika tayari tunarusha mijiwe "full" mvurugano bila tungamo. Ona walivyorudi na staili nyingine tunaonekana ni watu tusio na uvumilivu, wala majadiliano "Yaani GUBU"

Mtu akikosoa kidogo tu tena kwa mambo yenye uhalisia kinachofuata ni adhabu! Ukiwa mfanyakazi au mfanyabiashara halafu uwe against CCM "ADHABU" Hii kama siyo "GUBU" ndani ya huu utawala wa awamu ya tano ni nini? Ukiongea ukweli mchungu kwa serikali adhabu na tena utakuwa unaandamwa kila siku!

Narudia tena, Gubu siyo tusi bali ni neno linaloelezea tabia ya mtu kuwa na visasi vibaya na mlalamishi!
Ndivyo anaitwa Gubufuli.
 
Back
Top Bottom