Je, ndege ya Air Force One, gari la the beast na ndege 6 za Boeing zinamlindaje Rais wa Marekani?

Je, ndege ya Air Force One, gari la the beast na ndege 6 za Boeing zinamlindaje Rais wa Marekani?

Ilikuwaje George Bush akarushiwa viatu ukumbini kwenye mkutano na waandishi wa habari?
Hao wana usalama hawakunusa hilo?
Kwanini baada ya tukio lile Bush aliendelea kukaa mkutanoni?

Event. During a 14 December 2008 press conference at the prime minister's palace in Baghdad, Iraq, Iraqi journalist Muntadhar al-Zaidi threw both of his shoes at United States president George W. Bush.


View: https://www.youtube.com/watch?v=tU0RaRvJ0PQ

Huyu jamaa alifanya uboya sana. Kama aliendelea kuwa hai basi anabahti isiyo elezeka.
 
Inasemekana katika siku za mwanzo za u-rais wake, Rais Bill Clinton aliwahi kulalamika kuwa walinzi wanamnyima faragha binafsi. Mahala fulani alionekana akiwa ufukweni na mkewe huku magwiji wa 'Secret Service' wakiwa hatua chache..!
 
Back
Top Bottom