Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Ilikuwaje George Bush akarushiwa viatu ukumbini kwenye mkutano na waandishi wa habari?
Hao wana usalama hawakunusa hilo?
Kwanini baada ya tukio lile Bush aliendelea kukaa mkutanoni?
Event. During a 14 December 2008 press conference at the prime minister's palace in Baghdad, Iraq, Iraqi journalist Muntadhar al-Zaidi threw both of his shoes at United States president George W. Bush.
View: https://www.youtube.com/watch?v=tU0RaRvJ0PQ
Huyu jamaa alifanya uboya sana. Kama aliendelea kuwa hai basi anabahti isiyo elezeka.