Je, ndege ya ATCL iliyokamatwa imeachiwa?

Je, ndege ya ATCL iliyokamatwa imeachiwa?

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Wandugu kuna ile ndege ya shirika letu la ndege ATCL iliyoshikwa je, imeachiwa au ndio tena basi?

Inaonekana hakuna uwazi huku ikielekea kuna shinikizo toka nje kwamba nchi iangalie upya miradi iliyoanzishwa chini ya JPM kutokana na ilani za CCM.

Kuna hofu kwamba kuna wajanja au wahuni wanaotaka kuhujumu nchi kwa kisingizio ndege kukamatwa na mtu mwenye kuidai nchi huku akisaidiwa na vigogo wahuni kuiuza ndege na genge hilo kugawana hela.

Ni muda sasa tangu kisa cha kukamatwa ndege ya ATCL katika mazingira hayajawekwa wazi.

Umma wa wananchi wangependa kujua ni ndege gani ilikamatwa na imekamatwa wapi, na kama ilienda hapo kwa shughuli gani hadi ikakamatwa?

Je, ni hizi ndege mpya zilizonunuliwa kwa fedha taslimu kuanzia awamu ya tano au ni nyingine? Pia wananchi wangetaka kujua kisa hicho kiko hatua gani na hatua gani imefikiwa kutatua, na kama ndege ni kweli imeuzwa kama wengine wanavyodai?
 
Waiuze kabisa, inatia hasara, haina route, huku kui maintain ni ghali,hivyo kutafuna fedha bure!
Tanzania ilihitaji zaidi cargo plane kwa matumizi ya nchi na kukodisha.
 
Wandugu kuna ile ndege ya shirika letu la ndege ATCL iliyoshikwa je, imeachiwa au ndio tena basi?

Inaonekana hakuna uwazi huku ikielekea kuna shinikizo toka nje kwamba nchi iangalie upya miradi iliyoanzishwa chini ya JPM kutokana na ilani za CCM.

Kuna hofu kwamba kuna wajanja au wahuni wanaotaka kuhujumu nchi kwa kisingizio ndege kukamatwa na mtu mwenye kuidai nchi huku akisaidiwa na vigogo wahuni kuiuza ndege na genge hilo kugawana hela.

Ni muda sasa tangu kisa cha kukamatwa ndege ya ATCL katika mazingira hayajawekwa wazi.

Umma wa wananchi wangependa kujua ni ndege gani ilikamatwa na imekamatwa wapi, na kama ilienda hapo kwa shughuli gani hadi ikakamatwa?

Je, ni hizi ndege mpya zilizonunuliwa kwa fedha taslimu kuanzia awamu ya tano au ni nyingine? Pia wananchi wangetaka kujua kisa hicho kiko hatua gani na hatua gani imefikiwa kutatua, na kama ndege ni kweli imeuzwa kama wengine wanavyodai?
Na wewe kichwani upo sawa, sasa ile ndege iliyoshikwa no hizi aliyonunua Magufuli au kijiwe cha kahawa chenu ndiyo mnadanganyana hivyo. Yaani ndege ya kununuliwa kipindi shirika limebinafsishwa na ndege mkiani ina rangi ya bendera ya Afrika ya kusini baada ya shirika la ndege la huko kununua hisa 50%. Uje kusema ni mradi wa Magufuli. Ile ndege ipo toka hizo zama za JK.

PUNGUZA KUKURUPUKA
 
Wandugu kuna ile ndege ya shirika letu la ndege ATCL iliyoshikwa je, imeachiwa au ndio tena basi?

Inaonekana hakuna uwazi huku ikielekea kuna shinikizo toka nje kwamba nchi iangalie upya miradi iliyoanzishwa chini ya JPM kutokana na ilani za CCM.

Kuna hofu kwamba kuna wajanja au wahuni wanaotaka kuhujumu nchi kwa kisingizio ndege kukamatwa na mtu mwenye kuidai nchi huku akisaidiwa na vigogo wahuni kuiuza ndege na genge hilo kugawana hela.

Ni muda sasa tangu kisa cha kukamatwa ndege ya ATCL katika mazingira hayajawekwa wazi.

Umma wa wananchi wangependa kujua ni ndege gani ilikamatwa na imekamatwa wapi, na kama ilienda hapo kwa shughuli gani hadi ikakamatwa?

Je, ni hizi ndege mpya zilizonunuliwa kwa fedha taslimu kuanzia awamu ya tano au ni nyingine? Pia wananchi wangetaka kujua kisa hicho kiko hatua gani na hatua gani imefikiwa kutatua, na kama ndege ni kweli imeuzwa kama wengine wanavyodai?
Hiyo itakuwa imeshauzwa
 
Hizi ndege kubwa zote zinatia hasara kwani naona kila siku zimepaki tu hapo Terminal 3,tulinunua ndege kisifa sifa bila kuwa na Business plan. Hakika mtu yule amelitia Taifa hasara kubwa.
 
Hizi ndege kubwa zote zinatia hasara kwani naona kila siku zimepaki tu hapo Terminal 3,tulinunua ndege kisifa sifa bila kuwa na Business plan. Hakika mtu yule amelitia Taifa hasara kubwa.
Kwahiyo ATCL wana safari hewa hivi sasa wanazozitangsza?

Pia ndege iliyodakwa ina rangi ya Air Tanzania ya zamani ambayo nyuma mkiani kuna bendera ya Afrika ya kusini, hizo ni rangi zilizokuwa zikitumiwa na ATCL kipindi ambacho iliuzwa hisa zake 50% kwa shirika la ndege la Afrika ya kusini na wao ndiyo walinunua hiyo ndege.
 
Sasa hiyo ndiyo hasara yenyewe, hapo zilipo huwa na undergoing maintenance day to day while not working!
Hata kuruka yenyewe haziruki hovyo kama kunguru anatoka nguzo moja hadi nyingine, zina schedule maalum na kuna siku zinapumzishwa hazina safari. Pia zile Airbus ilishatangazwa zimepumzishwa kufanyiwa maintenance, sijui ndiyo anaona zimepaki akajua hazima abiria kumbe zipo kwenye marekebisho
 
Hata kuruka yenyewe haziruki hovyo kama kunguru anatoka nguzo moja hadi nyingine, zina schedule maalum na kuna siku zinapumzishwa hazina safari. Pia zile Airbus ilishatangazwa zimepumzishwa kufanyiwa maintenance, sijui ndiyo anaona zimepaki akajua hazima abiria kumbe zipo kwenye marekebisho
Hizo ndege ziko grounded kitambo tu
 
Wandugu kuna ile ndege ya shirika letu la ndege ATCL iliyoshikwa je, imeachiwa au ndio tena basi?

Inaonekana hakuna uwazi huku ikielekea kuna shinikizo toka nje kwamba nchi iangalie upya miradi iliyoanzishwa chini ya JPM kutokana na ilani za CCM.

Kuna hofu kwamba kuna wajanja au wahuni wanaotaka kuhujumu nchi kwa kisingizio ndege kukamatwa na mtu mwenye kuidai nchi huku akisaidiwa na vigogo wahuni kuiuza ndege na genge hilo kugawana hela.

Ni muda sasa tangu kisa cha kukamatwa ndege ya ATCL katika mazingira hayajawekwa wazi.

Umma wa wananchi wangependa kujua ni ndege gani ilikamatwa na imekamatwa wapi, na kama ilienda hapo kwa shughuli gani hadi ikakamatwa?

Je, ni hizi ndege mpya zilizonunuliwa kwa fedha taslimu kuanzia awamu ya tano au ni nyingine? Pia wananchi wangetaka kujua kisa hicho kiko hatua gani na hatua gani imefikiwa kutatua, na kama ndege ni kweli imeuzwa kama wengine wanavyodai?

Wananchi gani wanajua habari za ndege? Watu wanaokula mlo mmoja kwa siku na ndege wapi na wapi? Hizo ndege nyie sukuma gang ndio mnaleta nazo uchuro, lakini hakuna mwananchi wa kawaida ana habari nazo. Kama zilinunuliwa kihuni ili kusaka sifa za kisiasa zinaweza kuuzwa pia kihuni.

Kinachofanyika ni kuficha hizo zinazoitwa siri za serikali, lakini hao wananchi wakiambiwa ukweli wa manunuzi ya hizo ndege, hawakawii kwenda chattle kufukua kaburi.
 
kwanini sasa hivi kupitia serikali makini ya mama Samia isiwe na business plan ili zifanye kazi,ni aibu taifa kubwa kama Tanzania kukosa flag carrier nchi changa kama Rwanda wanandege na zinapiga kazi!,how tz tukose.

hata ndege mbili ziwepo lakini zifanye kazi,kama tunakubali hatuna akili ya kuoparate ndege hata mbili basi ziuzwe.
failed state in Africa.
 
Back
Top Bottom