Je, ndege ya ATCL iliyokamatwa imeachiwa?

Je, ndege ya ATCL iliyokamatwa imeachiwa?

Na wewe kichwani upo sawa, sasa ile ndege iliyoshikwa no hizi aliyonunua Magufuli au kijiwe cha kahawa chenu ndiyo mnadanganyana hivyo. Yaani ndege ya kununuliwa kipindi shirika limebinafsishwa na ndege mkiani ina rangi ya bendera ya Afrika ya kusini baada ya shirika la ndege la huko kununua hisa 50%. Uje kusema ni mradi wa Magufuli. Ile ndege ipo toka hizo zama za JK.

PUNGUZA KUKURUPUKA
Ndege gani unaizungumzia mkuu?
 
ATCL ili irudishe gharama mapema, ishushe bei ya ndege, kuna watu wanalipa 80-150 kwa basi kwenda Mwanza.

Washushe bei zicheze kwenye 100-150 kwa go pekee au 250 kwa return.

Kwa siku angalau ndege ziende Mwanza hata mara 4

Kilimanjaro mara 4

Mbeya mara 4

Wahakikishe kwa siku wanasafirisha abiria 2000-3000

Waondoe vitafunwa,

Wakaige mfumo wa badget airlines

Abiria wengi maana yake ndege itaenda service ikiwa imefanya kazi ya maana
 
Hizi ndege kubwa zote zinatia hasara kwani naona kila siku zimepaki tu hapo Terminal 3,tulinunua ndege kisifa sifa bila kuwa na Business plan. Hakika mtu yule amelitia Taifa hasara kubwa.

..manunuzi ya ndege yalihusisha 10% ya Sukuma Gang.
 
Back
Top Bottom