Je, ndege ya ATCL iliyokamatwa imeachiwa?

Ndege gani unaizungumzia mkuu?
 
ATCL ili irudishe gharama mapema, ishushe bei ya ndege, kuna watu wanalipa 80-150 kwa basi kwenda Mwanza.

Washushe bei zicheze kwenye 100-150 kwa go pekee au 250 kwa return.

Kwa siku angalau ndege ziende Mwanza hata mara 4

Kilimanjaro mara 4

Mbeya mara 4

Wahakikishe kwa siku wanasafirisha abiria 2000-3000

Waondoe vitafunwa,

Wakaige mfumo wa badget airlines

Abiria wengi maana yake ndege itaenda service ikiwa imefanya kazi ya maana
 
Hizi ndege kubwa zote zinatia hasara kwani naona kila siku zimepaki tu hapo Terminal 3,tulinunua ndege kisifa sifa bila kuwa na Business plan. Hakika mtu yule amelitia Taifa hasara kubwa.

..manunuzi ya ndege yalihusisha 10% ya Sukuma Gang.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…