Je, ndege za ATCL ni mitumba?

Je, ndege za ATCL ni mitumba?

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,281
Ninavyoandika hivi, ndege ya ATCL Airbus 220 imeharibika Mwanza tangu saa 1 Asubuhi na abiria wote wamekwama.

Hizi ndege ambazo zinadaiwa kuwa mpya zimekuwa zikiharibika kila mara, na hiyo inapelekea kuhoji ubora wa hizi ndege. Kama ni mpya, kwa nini ziharibike kila mara?

Nimeondoka na Precision punde huko abiria wote wa ATCL wakiwa wamebakia uwanjani bila majibu kwamba ni lini wataondoka kuja Dar. Nadhani haya ni matokeo ya serikali kujiingiza kwenye biashara.
 
Acha mambo yako Bwana. Tumenunua ndege mpya, kwa fedha zetu wenyewe tena cash.

Leo uje kutuambia zimeharibika? Kwani tangu Airbus 220 ije imeshafanya miruko ya saa ngapi?
 
Hivi definition ya Kuhujumu Uchumi ni Ipi?

Nadhani tuna candidates wetu wanatakiwa kujibu matumizi ya Pesa zetu (our hard earned cash)
 
Hizi ni hujuma, hatutaki hujuma ndege zetu ni mpya ata kama.
 
Watakwambia una hujumu shirika kisa umesema iko grounded.
 
Kama vipi waziuze tu ili tulipwe hela zetu za kutopandishwa madaraja kwa mwaka wa sita huu sasa!
Au mnasemaje ndugu zangu watumishi wa umma?

Maana yule mzee alitupotezea wakati ule kwa kisingizio cha kununua ndege eti!!
 
Ninavyoandika hivi, ndege ya ATCL Airbus 220 imeharibika Mwanza tangu saa 1 Asubuhi na abiria wote wamekwama.

Hizi ndege ambazo zinadaiwa kuwa mpya zimekuwa zikiharibika kila mara, na hiyo inapelekea kuhoji ubora wa hizi ndege. Kama ni mpya, kwa nini ziharibike kila mara?

Nimeondoka na Precision punde huko abiria wote wa ATCL wakiwa wamebakia uwanjani bila majibu kwamba ni lini wataondoka kuja Dar. Nadhani haya ni matokeo ya serikali kujiingiza kwenye biashara.
Acha unazi wewe.....ndege ya ET ilioua hadi zikazuiwa ilikuwa si mpya? Nani amekwambia kitu kipya hakipati hitilafu? KQ mnaumia sana na ATCL.
 
Ninavyoandika hivi, ndege ya ATCL Airbus 220 imeharibika Mwanza tangu saa 1 Asubuhi na abiria wote wamekwama.

Hizi ndege ambazo zinadaiwa kuwa mpya zimekuwa zikiharibika kila mara, na hiyo inapelekea kuhoji ubora wa hizi ndege. Kama ni mpya, kwa nini ziharibike kila mara?

Nimeondoka na Precision punde huko abiria wote wa ATCL wakiwa wamebakia uwanjani bila majibu kwamba ni lini wataondoka kuja Dar. Nadhani haya ni matokeo ya serikali kujiingiza kwenye biashara.
Inaweza kuwa ni mpya, lakini matumizi yakawa hovyo. Maana mkuu huamua tuu wape hawa lift, wapelek hawa Kanda pendwa, bila kujali masaa ya service yamefika au laahh..
Pia uzoefu wa kuziendesha jamaa ana interest ya watu wa sehemu fulani wawe watumishi ndani ya ndege na ofisini bila kujali uzoefu. Hivyo yusishangae sana maana hata bei zake hatujui. Labda zilitolewa kama msaada nyie mkaambiwa zimenunuliwa..
 
Ninavyoandika hivi, ndege ya ATCL Airbus 220 imeharibika Mwanza tangu saa 1 Asubuhi na abiria wote wamekwama.

Hizi ndege ambazo zinadaiwa kuwa mpya zimekuwa zikiharibika kila mara, na hiyo inapelekea kuhoji ubora wa hizi ndege. Kama ni mpya, kwa nini ziharibike kila mara?

Nimeondoka na Precision punde huko abiria wote wa ATCL wakiwa wamebakia uwanjani bila majibu kwamba ni lini wataondoka kuja Dar. Nadhani haya ni matokeo ya serikali kujiingiza kwenye biashara.
Basi hizo Precision ni mpya maana hazijaharibika na umeweza kusafiri nayo.
 
Ninavyoandika hivi, ndege ya ATCL Airbus 220 imeharibika Mwanza tangu saa 1 Asubuhi na abiria wote wamekwama.

Hizi ndege ambazo zinadaiwa kuwa mpya zimekuwa zikiharibika kila mara, na hiyo inapelekea kuhoji ubora wa hizi ndege. Kama ni mpya, kwa nini ziharibike kila mara?

Nimeondoka na Precision punde huko abiria wote wa ATCL wakiwa wamebakia uwanjani bila majibu kwamba ni lini wataondoka kuja Dar. Nadhani haya ni matokeo ya serikali kujiingiza kwenye biashara.
Usilalamike, wakati wa masika na maua ya embe ndege hupata maradhi madogomadogo ya kushindwa kupumua.
 
Boeing 747max iliyoua watu ilikua ya zamani kwani?
 
Back
Top Bottom