MWISHO WA SHAMBA
Member
- Sep 25, 2023
- 22
- 38
Habar wakuu! Naomba kuuliza je latesay ulimaliza certificate miaka mi5 au 6 iliyopita nasasa unataka kuendelea na diploma je inawezekana kuendelea kupitia hiyo certificate yako au nilazima uanze upya ngazi ya cheti??
Kuna mtu ameniambia chet chako kikizidi miaka mitatu huwez kuendelea nacho kwangazi ya diploma mana kinakuwa tayari kimeexpire.?
Je hii kitu inaukweli wowote.?
Kuna mtu ameniambia chet chako kikizidi miaka mitatu huwez kuendelea nacho kwangazi ya diploma mana kinakuwa tayari kimeexpire.?
Je hii kitu inaukweli wowote.?