[emoji1][emoji1][emoji1]Hata wewe nakujua
Kuwa makini utaliwa Donati hiyo, ohooooo hiii ni Jf [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nsije enda pm nkageuziwa jicho
Usidanganye vijana wenzako kijana wangu, ngono ni salama sana ila inategemea unaitumia kwa mtindo na makusudi gani.ngono si salama. vijana muoage
haha.. me siwadanganyi.. ila ungefafanua huo mtindo tuelewe tujue isije kuwa tunatupa almas kwenye bahari tukidhani ni mawe...Usidanganye vijana wenzako kijana wangu, ngono ni salama sana ila inategemea unaitumia kwa mtindo na makusudi gani.
Usingeandika hivi nisingekuelewa πMimi akinipa tu tayari naona ananipenda... π€£
Ni jirani yangu hapa mtaani kwetun
imewaza hivo... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afu wewe ulijuaje ni ke
Hapanaulimpa π π
hapana inategemea na hisia za watu wawili zifikapo equilibriumni lazima iwe mapema??