Je, ni Akili za Kitaaluma pekee ndizo zinazokufanya uwe mwana Usalama wa Taifa mahiri, au ni zile Akili za Kuzaliwa nazo ( Nature ) tu?

Je, ni Akili za Kitaaluma pekee ndizo zinazokufanya uwe mwana Usalama wa Taifa mahiri, au ni zile Akili za Kuzaliwa nazo ( Nature ) tu?

kwani wewe ndiyo wa kule X anaetafutwa na JWTZ au yule ndiyo amekukopi wewe??
 
Nchi Kama Israel Wana recruit watu kutokana na uwezo wao. Kwa Mfano Kuingia "MOSADI' Kati ya watu Mia Moja basi wanachagua mtu mmoja kwenda kupata mafunzo kwenye medani za Usalama Tu


Kisa Mafunzo:Siku hapo Israel kuna Magaidi walivamia club na kua watu

Basi MOSADI walituma Kachero moja kuingia Lebanon ndani ya siku tatu alirudi na Magaidi yote .....
Tupe ushahidi wa hili ulilo andika
 
Nimedokezwa kuwa huko CIA na MOSSAD wao Kipaumbele chao kwa wanao wa recruit ni Akili za Kuzaliwa nazo pekee na hizo za Kitaaluma (za Darasani) nenda Katambe nazo kwa Washamba Wenzako huko Kijijini Kwenu.

Na nimedokezwa pia nchi zingine nyingi (hasa Barani Afrika) ila Tanzania haipo Wao ili uwe ni mwana Usalama wa Taifa wanaangalia Taaluma yako kama umeshawahi kupata Sup Chuoni au kama ulipokuwa Darasani ulikuwa unakaa mbele na muulizaji Maswali mzuri na Daftari zako ni Safi na Notes zako zinavutia na uwe na Uwezo mkubwa wa Kukariri Notes za Mwalimu wako (hata kama huzielewi) na Kuzijibia Mitihani ili upate Alama A na B.

Je, ukweli hasa ni upi? Najua hapa JamiiForums mpo /wapo Wabobezi wa Fani husika (tajwa) hivyo watanisaidia Kunifafanulia / Kutufafanulia akina siye tusiojua lolote lile kuhusu mambo / masuala ya Usalama wa Taifa ( Intelligence ) hapa duniani.
mengine ni ziada tu. but priority number one, uvccm.

number two, ni kiwango chako cha uchawa na unyenyekevu kwa chama na viongozi ndani ya mfumo. then boom, ajira ndani ya usalama wa taifa hii hapa.
 
Nimedokezwa kuwa huko CIA na MOSSAD wao Kipaumbele chao kwa wanao wa recruit ni Akili za Kuzaliwa nazo pekee na hizo za Kitaaluma (za Darasani) nenda Katambe nazo kwa Washamba Wenzako huko Kijijini Kwenu.

Na nimedokezwa pia nchi zingine nyingi (hasa Barani Afrika) ila Tanzania haipo Wao ili uwe ni mwana Usalama wa Taifa wanaangalia Taaluma yako kama umeshawahi kupata Sup Chuoni au kama ulipokuwa Darasani ulikuwa unakaa mbele na muulizaji Maswali mzuri na Daftari zako ni Safi na Notes zako zinavutia na uwe na Uwezo mkubwa wa Kukariri Notes za Mwalimu wako (hata kama huzielewi) na Kuzijibia Mitihani ili upate Alama A na B.

Je, ukweli hasa ni upi? Najua hapa JamiiForums mpo /wapo Wabobezi wa Fani husika (tajwa) hivyo watanisaidia Kunifafanulia / Kutufafanulia akina siye tusiojua lolote lile kuhusu mambo / masuala ya Usalama wa Taifa ( Intelligence ) hapa duniani.
Tanzania ni vimemo tu, unajuana na nani
 
Akili ni muhimu ndo maana maafisa usalama wa miaka 1995 kurudi nyuma tulichujwa sana

Kwa Sasa kazi Hiyo nshaacha Ila wanaangalia vitu vingi sana

Kuna Afisa usalama unaweza tumwa Kitengo fulan kulingana na wewe ulivyo au ukawa recruited juu kwa juu kwenye nafasi uliyopo labda Banker au mwalimu au dereva ili uchunguze jambo fulan kwa muda fulan Ila hao uwa hawadumu

Ila wengi walitolewa mashuleni vichwa kabisa

Na wengine utulivu silence Yao ya ku contain jambo bila ku leak hapa kuna upimaji wao unavyofanyika

…”maafisa usalama wa miaka 1995 kurudi nyuma tulichujwa sana”

Unataka kusema wa 2010 kurudi nyuma vilaza?
Poty, hebu tulia!!!
 
…”maafisa usalama wa miaka 1995 kurudi nyuma tulichujwa sana”

Unataka kusema wa 2010 kurudi nyuma vilaza?
Poty, hebu tulia!!!
Huyu ndiyo yule police ambae video yake inatembea sana kwenye mitandao ya kijamii, anaulizwa vyeo vya kipolice na mkaguzi wake kumbe hajui kitu na ana miaka 7 jeshini!!
 
Back
Top Bottom