Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,691
- 2,967
Kwa wale ambao huwa mnapita maeneo ya magereji kama vile Tandale, Mwananyamala, Ilala na Kko bila shaka umeshawahi kuwaona watu wakipita na baiskeli au mikokoteni wakikusanya Madumu/ Chupa za oil za magari na pia wakikusanya oil chafu na kuondoka nayo.
Baada ya utafiti kidogo inasemekana oil hiyo inatumika kama fuel kuendesha mitambo inayotumia mafuta mazito, na wengine wanasema Oil hiyo hufanyiwa Recycling na kurudishwa kwenye matumizi. Na kuhusu Vidumu hasa hivyo vya kuanzia Lita 4 na kuendelea huwekwa oil Isiyo ya brand husika na kurudiashwa kwenye soko
Je! Umeshawahi kukutana na hali hiyo?
Baada ya utafiti kidogo inasemekana oil hiyo inatumika kama fuel kuendesha mitambo inayotumia mafuta mazito, na wengine wanasema Oil hiyo hufanyiwa Recycling na kurudishwa kwenye matumizi. Na kuhusu Vidumu hasa hivyo vya kuanzia Lita 4 na kuendelea huwekwa oil Isiyo ya brand husika na kurudiashwa kwenye soko
Je! Umeshawahi kukutana na hali hiyo?