Je, ni Busara au kanuni ambayo Itatumika kuamua Kesi ya Mhilu (Simba SC) vs Kagera Sugar?

Je, ni Busara au kanuni ambayo Itatumika kuamua Kesi ya Mhilu (Simba SC) vs Kagera Sugar?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Tukirudi nyuma kabisa historia inawatambua kuwa Simba SC ndiyo klabu pekee
Tanzania.

Tukumbuke ishu ya Singano, Yondani, Chuji na Hassan Kessy hawa wote walisepa pale kwasababu ya changamoto ya kuchezewa mikataba yao na uongozi wa Simba SC

Dirisha hili la usajili wamesha fanya yao. Yaani wameamua kwenda kumsajili mchezaji ambaye hajamaliza mkataba wake.
Ikumbukwe kuwa Kagera Sugar sio wababaishaji, wanapo lalamika kuhusu. Jambo fulani huwa wana msingi katika hoja yao. Haiwezekani wao waseme mchezaji ana mkataba kwao ili hali isiwe hivyo.

Mashaka zaidi iko upande wa Simba SC ambapo wamekuwa na historia ya kuwa timu pekee katika historia ya Mpira wa miguu Tanzania Bara kulaghai wachezaji ambao bado wana mikataba upande mwingine au mikataba yao kuchezewa.

Shitaka hili limepelekwa kwa kamati maalumu ya usuluhishi ya TFF.

Je Unadhani kanuni zilizopo zinaweza kutumika kuwapa haki yao Kagera Sugar au "BUSARA" itatumika ili kuwanufaisha Simba SC na kuwanyima haki Kagera Sugar?

Ikumbukwe kuwa baadhi ya viongozi walio ndani ya TFF walianza kusikika wakisema kuwa ni vyema vilabu husika vikae vitumie BUSARA kusuruhisha jambo hili, na wala hawakusikika kuwataka vilabu kutumia kanuni zilizopo kutatua changamoto hii.
 
Tukirudi nyuma kabisa historia inawatambua kuwa Simba SC ndiyo klabu pekee
Tanzania.

Tukumbuke ishu ya Singano, Yondani, Chuji na Hassan Kessy hawa wote walisepa pale kwasababu ya changamoto ya kuchezewa mikataba yao na uongozi wa Simba SC

Dirisha hili la usajili wamesha fanya yao. Yaani wameamua kwenda kumsajili mchezaji ambaye hajamaliza mkataba wake.
Ikumbukwe kuwa Kagera Sugar sio wababaishaji, wanapo lalamika kuhusu. Jambo fulani huwa wana msingi katika hoja yao. Haiwezekani wao waseme mchezaji ana mkataba kwao ili hali isiwe hivyo.

Mashaka zaidi iko upande wa Simba SC ambapo wamekuwa na historia ya kuwa timu pekee katika historia ya Mpira wa miguu Tanzania Bara kulaghai wachezaji ambao bado wana mikataba upande mwingine au mikataba yao kuchezewa.

Shitaka hili limepelekwa kwa kamati maalumu ya usuluhishi ya TFF.

Je Unadhani kanuni zilizopo zinaweza kutumika kuwapa haki yao Kagera Sugar au "BUSARA" itatumika ili kuwanufaisha Simba SC na kuwanyima haki Kagera Sugar?

Ikumbukwe kuwa baadhi ya viongozi walio ndani ya TFF walianza kusikika wakisema kuwa ni vyema vilabu husika vikae vitumie BUSARA kusuruhisha jambo hili, na wala hawakusikika kuwataka vilabu kutumia kanuni zilizopo kutatua changamoto hii.
Mkiambiwa mnalopoka kama mbwa koko mnachukia. Katibu wa kagera alisema hatuna kesi na simba. Ila mhilu aliomba TFF ili kusitisha mkataba, baada ya kukaa na TFF waliomba wakae kagera sugar wajadiliane wao.
 
Mkiambiwa mnalopoka kama mbwa koko mnachukia. Katibu wa kagera alisema hatuna kesi na simba. Ila mhilu aliomba TFF ili kusitisha mkataba, baada ya kukaa na TFF waliomba wakae kagera sugar wajadiliane wao.
Uwo ndio umbumbumbu mchezaji anaombaje kusitisha mkataba wakati uouo amesha tangazwa kua amesajiliwa na timunyingine!!!!
 
Tukirudi nyuma kabisa historia inawatambua kuwa Simba SC ndiyo klabu pekee
Tanzania.

Tukumbuke ishu ya Singano, Yondani, Chuji na Hassan Kessy hawa wote walisepa pale kwasababu ya changamoto ya kuchezewa mikataba yao na uongozi wa Simba SC

Dirisha hili la usajili wamesha fanya yao. Yaani wameamua kwenda kumsajili mchezaji ambaye hajamaliza mkataba wake.
Ikumbukwe kuwa Kagera Sugar sio wababaishaji, wanapo lalamika kuhusu. Jambo fulani huwa wana msingi katika hoja yao. Haiwezekani wao waseme mchezaji ana mkataba kwao ili hali isiwe hivyo.

Mashaka zaidi iko upande wa Simba SC ambapo wamekuwa na historia ya kuwa timu pekee katika historia ya Mpira wa miguu Tanzania Bara kulaghai wachezaji ambao bado wana mikataba upande mwingine au mikataba yao kuchezewa.

Shitaka hili limepelekwa kwa kamati maalumu ya usuluhishi ya TFF.

Je Unadhani kanuni zilizopo zinaweza kutumika kuwapa haki yao Kagera Sugar au "BUSARA" itatumika ili kuwanufaisha Simba SC na kuwanyima haki Kagera Sugar?

Ikumbukwe kuwa baadhi ya viongozi walio ndani ya TFF walianza kusikika wakisema kuwa ni vyema vilabu husika vikae vitumie BUSARA kusuruhisha jambo hili, na wala hawakusikika kuwataka vilabu kutumia kanuni zilizopo kutatua changamoto hii.
Mahaba niuwe,hivi ni kweli Simba ni timu pekee nami nayofanya figisufigisu kwenye usajili hapa Tz? Unakumbuka sakata la Mbuyi Twite ? Yanga walifanya Yao uongozi wa Tff ya kipindi hicho ulibariki huo uhuni,na kumtaka Twite arudishe pesa ya usajili?Pia unakumbuka sakata la Ngasa kusajiliwa na yanga akiwa na mkataba na Simba,? Hii ndiyo Bongo land nchi nzuri na yenye maajabu + viroja vyake,waulize waliyokutangulia kwa umri wakupe faida juu ya sakata la UsAjILi ldifonce Amlima alistahili timu nne tofauti kwenye dirisha la UsAjILi,unajua ni Nini kiliamuliwa kwenye sakata Hilo?Tuendeleee kunywa mtori nyama turazikuta Chini.
 
Uwo ndio umbumbumbu mchezaji anaombaje kusitisha mkataba wakati uouo amesha tangazwa kua amesajiliwa na timunyingine!!!!
Hilo ni la kikanuni siwezi kuzungumzia. Kwa mjibu wa mtoa maada ni kwamba kuna kesi ya simba na kagera. Hilo ndio niliyokua nakanusha
 
Tukirudi nyuma kabisa historia inawatambua kuwa Simba SC ndiyo klabu pekee
Tanzania.

Tukumbuke ishu ya Singano, Yondani, Chuji na Hassan Kessy hawa wote walisepa pale kwasababu ya changamoto ya kuchezewa mikataba yao na uongozi wa Simba SC

Dirisha hili la usajili wamesha fanya yao. Yaani wameamua kwenda kumsajili mchezaji ambaye hajamaliza mkataba wake.
Ikumbukwe kuwa Kagera Sugar sio wababaishaji, wanapo lalamika kuhusu. Jambo fulani huwa wana msingi katika hoja yao. Haiwezekani wao waseme mchezaji ana mkataba kwao ili hali isiwe hivyo.

Mashaka zaidi iko upande wa Simba SC ambapo wamekuwa na historia ya kuwa timu pekee katika historia ya Mpira wa miguu Tanzania Bara kulaghai wachezaji ambao bado wana mikataba upande mwingine au mikataba yao kuchezewa.

Shitaka hili limepelekwa kwa kamati maalumu ya usuluhishi ya TFF.

Je Unadhani kanuni zilizopo zinaweza kutumika kuwapa haki yao Kagera Sugar au "BUSARA" itatumika ili kuwanufaisha Simba SC na kuwanyima haki Kagera Sugar?

Ikumbukwe kuwa baadhi ya viongozi walio ndani ya TFF walianza kusikika wakisema kuwa ni vyema vilabu husika vikae vitumie BUSARA kusuruhisha jambo hili, na wala hawakusikika kuwataka vilabu kutumia kanuni zilizopo kutatua changamoto hii.
Usijali utopolo wapo watakuwa upande wa Kagera.
 
Mkiambiwa mnalopoka kama mbwa koko mnachukia. Katibu wa kagera alisema hatuna kesi na simba. Ila mhilu aliomba TFF ili kusitisha mkataba, baada ya kukaa na TFF waliomba wakae kagera sugar wajadiliane wao.
Sasa kwa akili zako timamu, katika shirikisho linaloongozwa na sheria za mpira, hili ni swala la kujadiliana wakati timu imeshavunja sheria ya usajili

Tukiwaambia timu yenu Inabebwa na TFF mnakataaa, yaan hili liko wazi timu ipi imekosea na unataka majadiliano tena
 
Back
Top Bottom