Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Hata Minara wanakodi
Wafanyakazi wameoutsource kwa watu.
Wanafanya hivyo kuepuka mambo mengi.
Hawajengi sababu assets zao zaweza dakwa na serikali

I see

Kumbe ni uamuzi wakimkakati sio kwasababu ya uwezo
 
Waheshimiwa

Kuna jambo moja ambalo watu wengi wamekua wanalikosea bila kujua. Kwa maoni yangu:
Ni muhimu kuelewa tofauti kati ya business na investments
Ni muhimu kuzingatia suala la return on investment au Retun on Asset wakati wowote unapofanya investment au biashara. Usipozingatia haya utasema huna bahati au unalogwa. Utakua frasturated na kuchukia biashara. Mfano


Mimi na wewe tunaweza kuchukua mkopo wa million 100, tukafungua biashara tofauti. Wewe ukawa unapata faida kubwa kwa haraka kuliko mimi. Au Wewe unaweza kuanzisha biashara ambayo ni capital intensive mimi nikaanzisha biashara ambayo sio capital intensive (haihitaji mtaji mkubwa). Au wewe unaweza ukafungua biashara yenye matumizi mengi / higher expenses kama daladala/ malori kuliko mimi. Au wewe unaweza ukafungua biashara yenye risk kubwa kuliko mimi kama vile daladala zinazopata ajali kila mara nk. Au wewe unaweza kufungua bishara yenye mzunguko mkubwa wa mauzo kuliko mimi. Yote haya yataamua nani atafanikiwa kuliko mwengine baina yetu

Wakati mwengine hata structure ya biashara inaweza kuamua nani anafanikiwa kuliko mwengine. mimi na wewe wote tunaweza kuanzisha biashara inayofanana lakini tukatofautiana katika structure ya management au operations na hapo mmoja akafanikiwa kuliko mwengine. Kwamfano wote tunaweza tukanunua bajaji kwa million 6 wewe ukaingia mkataba na dereva awe anakuletea kiasi fulani mpaka itakapofika million 10 then bajaji itakua yake. Mimi nikaweka dereva tu akawa analeta hesabu na hapo mmoja wetu akafanikiwa kuliko mwengine.

Wakati mwengine usimamizi tu unaweza kuleta tofauti kubwa sana. Wewe unaweza ukawa na Lori lako liko kijijini kwenu huko kaka zako wanasimamia na mimi nna Lori langu liko hapa Dar nasimamia mwenyewe au wote tunaweza kua na Fuso ziko dar lakini wewe ukapata dereva mwenye nidhamu mimi nikapata dereva asie mwaminifu na hapo tukapata matokeo tofauti kabisa

Tofauti hizi nyingi ndogo ndogo za kiufundi hua zinaleta matokeo tofautisana katika biashara na ni mambo ya kuzingatia kama unataka ufanikiwe kibiashara. ndio maana wewe unaweza ukawa na Daladala likakushinda ukauza mwenzako akanunua hioihilo akaa nalo miaka 10 ukabaki unashangaa

Kingine ni uvumilivu na kujifunza. Ukiwa na biashara na haiendi vizuri jitahidi kuvumilia na kujifunza na kurekebisha mapungufu yako katika biashara. Uyarekebishe na kuendelea. usiruke ruke na kuanzisha biashara mpya kila mwaka

Kingine Muhimu ni kuandika mapato na matumizi yote katika biashara yako ili baada ya mwaka au miaka 2 uweze kufanya tathimini na kuamua kama uendelee au la.

Mwisho nimalizie na mfano ulioko kwenye kichwa cha habari ya bandiko hili - case study. Nimekutana na rafiki zangu kama 4 ambao wanajilaumu kwa uamuzi wao wa kujenga nyumba na kuanza kukusanya kodi. Wamekuja kugundua baadae kua faida hua ni ndogo na inachukua muda mrefu sana kupata - inachukua zaidi ya miaka 20 kubreak even na kuanza kupata real profit. Yuko mmoja ameachiwa nyumba ya urithi na anasema anatamani angeweza kuuza na hizo fedha akaingiza kwenye biashara nyingine yenye high and quick return - familia haiwezi kumruhusu. Nyumba haimpi faida yoyote ya maana tena ni kubwa mno na wapangaji hamna. Yuko mwengine yeye alichukua mortgage kama million 200 pamoja na wife wakajenga nyumba. Wamekaa wamepiga hesabu na kugundua watakapomaliza kulipa baada ya miaka kama 15 watakua wamelipa kama million 400 kwa mbinde maana malipo ya mwezi ni zaid ya million 1 ambayo inawatesa sana kwasasa. Wanajilaumu. Kwamfano: ukijenga nyumba kwa million 150 na kuanza kukusanya kodi ya 600,00 kwa mwezi itachukua miaka 21 kuweza kukusanya kodi ya million 150. Kama unajenga nyumba ya kuishi ni sahihi lakini nyumba kama biashara it might be a challenge. Furthermore, kama una million 150 wapo wanaodhani unaweza kuiingiza kwenye biashara kisha ukatumia faida ya hiyo biashara kujenga nyumba polepole

Tupe maoni yako, tujadiliane, tubadilishane mawazo, tufundishane
Hiyo nyumba itarejesha hela yake baada ya miaka 21
 
Mi naona kupanga saa zingine ni vizuri kuliko kwenda jenga mbali unatumia gharama kusafiri na muda unapoteza mwingi.
Mtu anaishi Bunju anafanya kazi Posta huyu alitakiwa apange kkoo ili apunguze muda unaopotea na fedha anazotumia kwenye usafiri

Hii ni point ya msingi ambayo watu wengi wanaisahau na inawaumiza sana
 
Kujenga nyumba 150M then kupangisha kodi ya 400k ni maamuzi mabaya ya kiuwekezaji hata kama unatarget mbali kwa strategy ya kukusanya pango bado hailipi.

Utamaduni wa ya afrika ni kukumbatia nyumba ila kwa hizo pesa, kma unataka kuzizalisha strategy nzuri ni kujenga na kuuza au kununua na kuuza nyumba. Ukizungusha ndani ya miaka 5 utakuwa umedouble hyo pesa au zaidi.

Ila sasa naona kma soko la nyumba na real estate kwa bongo limeshuka sana.
 
Mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo hutakuwa na uelewa nayo,kumiliki nyumba au kujenga nyumba ili upange ni jambo jema na zuri endapo utafata vigezo stahiki.mfano unaweza ukaamua kufanya hivyo ukawa unapangisha huku unatumia hiyohiyo nyumba yako kama security( kuombea mkopo), mbili uneweza ukaamua kufanya hivyo utakuwa umesave time ya wewe kufanya mambo mengine kwa maana nyumba hiyo itakuwa inakuingizia wewe pesa bila wewe kuifanyia kazi (money work for you= you never work for money) kwa hivyo utakuwa umesave time na kufanya mambo mengine. Tatu kufanya hivyo utakuwa upo kwenye risk ndogo ya kupoteza mtaji wako kiasi kama sio wote.4 kufanya hivyo utakuwa umeingia katika ulimwengu wa financial freedom. Ila angalizo kama nilivyosema mwanzo mambo ya real estate ni magumu sana kama endapo utakuwa huna uelewa nayo, sasa ili kufanikiwa kaatika any types of real estate/investment yeyote inakupasa kupita kwenye steg hizi tatu...

1.Elimu kuhusu real estate(uwekezaji katika nyumba au viwanya)
2.Uzoefu
3.BOOM!!!! Ongezeko la kipato
Kwa wale wanaoogopa biashara ya real estate niwadokeze tu Tajiri na billionaire wa kwanza wa babilon ametokea kwenye hii biashara ya real estate.

Mawazo mazuri sana hasa kwakua yameeleza pros and cons na kutoa maangalizo
 
Hujamuelewa labda usome kuanzia story za mwanzo hapo juuu, ukifanyia biashara 150.000.000 ndani ya miaka mitano utakuwa umeishapata zaid ya 600.000.000
Biashara nayo ni fani siyo kila mtu ana fani ya biashara. Ushauri niliotoa ni kuwa kama wewe una biashara yako ina thamani ya TShs 250,000,000 na wewe unahisi mtaji wa 100,000,000 unatosha kuendesha biashara yako; toa ile 150,000,000 ukawekeze kwenye nyumba.
 
Future ni unpredictable ndugu. Nani alijua kuwa fremu za biashara kariakoo zitakuwa obsolete miaka ya hv Karibuni? Watu walikwenda na upepo wa bandari mpya ya Bagamoyo wakanunua Maeneo huko Mlingotini na njia ya Msata kiko wapi?

Umetoa angalizo zuri sana mkuu

Business models are changing ni lazima na sisi tuchange
Nani alijua kwamba Taxi zitakuja kua obsolete sababu ya Uber
Mauzo ya magari yatapungua sababu ya uber
Maduka yatakuja kua obsolete kwakua watu wananunua online na kufanyiwa home delivery
Benki nazo zisipoangalia zitakuja kua obsolete now that mobile money is booming
Very soon western union na money gramm zitakua obsolete watu wanatumai wave
Michepuko yakudumu inakua obsolete kwasababu ya Escort services kama exotic

Nakadhalika
 
Kujenga nyumba 150M then kupangisha kodi ya 400k ni maamuzi mabaya ya kiuwekezaji hata kama unatarget mbali kwa strategy ya kukusanya pango bado hailipi.

Utamaduni wa ya afrika ni kukumbatia nyumba ila kwa hizo pesa, kma unataka kuzizalisha strategy nzuri ni kujenga na kuuza au kununua na kuuza nyumba. Ukizungusha ndani ya miaka 5 utakuwa umedouble hyo pesa au zaidi.

Ila sasa naona kma soko la nyumba na real estate kwa bongo limeshuka sana.

UShauri makini sana huu na angalizo zuri sana. Bravo
 
Kwa DSM maeneo hot 150M unaweza kutoa Chumba na Sebule + jiko lake zikawa 8 na pesa ya Fensi pembeni Market value ya chumba +Sebule+jiko classic ni 250,000-----350,000 at lowest 250*8= 2M kwa mwezi.

Nyumba ni Longterm investment itakuchukua kama miaka 6-8 kurudisha pesa yako kwa hapa Dar maeneo ambayo yamechangamka.
Kiwanja maeneo yaliyochangamka utanunua kwa pesa ngapi?unafahamu kwamba maeneo ya nje ya mji Kama Tegeta au Kimara maeneo karibu na barabarani hiyo pesa yote inaishia kwenye kiwanja?
 
Tuwe wakweli, biashara zote halali bongo zimeyumba sana. Hivyo kuja wakat you just need to survive, to just be operational. Ukipigwa na dhoruba na uko katikati ya bahari, usijitie ujuaji wa kutaka kuogelea ufike ufukweni, just keep yourself afloat and wait for rescue.
Mimi nazielewa sana hoja za upande wako. Ila natambua udhaifu wa wengi. Hawana financial literacy. Sio wajasiliamali. Sio wachaga, wakinga, wapemba au wahindi ambao wana fursa ya kupata informal education ya biashara. Hawa wanahitaji biashara ambayo haihitaji micromanagement. Tukitaka kuwadaidia tuwaelekeze biashara mbadala.
Financial Literacy tuipate wapi? Au ile inayotolewa na Dr. Mauki (PhD)?
 
Waheshimiwa

Kuna jambo moja ambalo watu wengi wamekua wanalikosea bila kujua. Kwa maoni yangu:
Ni muhimu kuelewa tofauti kati ya business na investments
Ni muhimu kuzingatia suala la return on investment au Retun on Asset wakati wowote unapofanya investment au biashara. Usipozingatia haya utasema huna bahati au unalogwa. Utakua frasturated na kuchukia biashara. Mfano


Mimi na wewe tunaweza kuchukua mkopo wa million 100, tukafungua biashara tofauti. Wewe ukawa unapata faida kubwa kwa haraka kuliko mimi. Au Wewe unaweza kuanzisha biashara ambayo ni capital intensive mimi nikaanzisha biashara ambayo sio capital intensive (haihitaji mtaji mkubwa). Au wewe unaweza ukafungua biashara yenye matumizi mengi / higher expenses kama daladala/ malori kuliko mimi. Au wewe unaweza ukafungua biashara yenye risk kubwa kuliko mimi kama vile daladala zinazopata ajali kila mara nk. Au wewe unaweza kufungua bishara yenye mzunguko mkubwa wa mauzo kuliko mimi. Yote haya yataamua nani atafanikiwa kuliko mwengine baina yetu

Wakati mwengine hata structure ya biashara inaweza kuamua nani anafanikiwa kuliko mwengine. mimi na wewe wote tunaweza kuanzisha biashara inayofanana lakini tukatofautiana katika structure ya management au operations na hapo mmoja akafanikiwa kuliko mwengine. Kwamfano wote tunaweza tukanunua bajaji kwa million 6 wewe ukaingia mkataba na dereva awe anakuletea kiasi fulani mpaka itakapofika million 10 then bajaji itakua yake. Mimi nikaweka dereva tu akawa analeta hesabu na hapo mmoja wetu akafanikiwa kuliko mwengine.

Wakati mwengine usimamizi tu unaweza kuleta tofauti kubwa sana. Wewe unaweza ukawa na Lori lako liko kijijini kwenu huko kaka zako wanasimamia na mimi nna Lori langu liko hapa Dar nasimamia mwenyewe au wote tunaweza kua na Fuso ziko dar lakini wewe ukapata dereva mwenye nidhamu mimi nikapata dereva asie mwaminifu na hapo tukapata matokeo tofauti kabisa

Tofauti hizi nyingi ndogo ndogo za kiufundi hua zinaleta matokeo tofautisana katika biashara na ni mambo ya kuzingatia kama unataka ufanikiwe kibiashara. ndio maana wewe unaweza ukawa na Daladala likakushinda ukauza mwenzako akanunua hioihilo akaa nalo miaka 10 ukabaki unashangaa

Kingine ni uvumilivu na kujifunza. Ukiwa na biashara na haiendi vizuri jitahidi kuvumilia na kujifunza na kurekebisha mapungufu yako katika biashara. Uyarekebishe na kuendelea. usiruke ruke na kuanzisha biashara mpya kila mwaka

Kingine Muhimu ni kuandika mapato na matumizi yote katika biashara yako ili baada ya mwaka au miaka 2 uweze kufanya tathimini na kuamua kama uendelee au la.

Mwisho nimalizie na mfano ulioko kwenye kichwa cha habari ya bandiko hili - case study. Nimekutana na rafiki zangu kama 4 ambao wanajilaumu kwa uamuzi wao wa kujenga nyumba na kuanza kukusanya kodi. Wamekuja kugundua baadae kua faida hua ni ndogo na inachukua muda mrefu sana kupata - inachukua zaidi ya miaka 20 kubreak even na kuanza kupata real profit. Yuko mmoja ameachiwa nyumba ya urithi na anasema anatamani angeweza kuuza na hizo fedha akaingiza kwenye biashara nyingine yenye high and quick return - familia haiwezi kumruhusu. Nyumba haimpi faida yoyote ya maana tena ni kubwa mno na wapangaji hamna. Yuko mwengine yeye alichukua mortgage kama million 200 pamoja na wife wakajenga nyumba. Wamekaa wamepiga hesabu na kugundua watakapomaliza kulipa baada ya miaka kama 15 watakua wamelipa kama million 400 kwa mbinde maana malipo ya mwezi ni zaid ya million 1 ambayo inawatesa sana kwasasa. Wanajilaumu. Kwamfano: ukijenga nyumba kwa million 150 na kuanza kukusanya kodi ya 600,00 kwa mwezi itachukua miaka 21 kuweza kukusanya kodi ya million 150. Kama unajenga nyumba ya kuishi ni sahihi lakini nyumba kama biashara it might be a challenge. Furthermore, kama una million 150 wapo wanaodhani unaweza kuiingiza kwenye biashara kisha ukatumia faida ya hiyo biashara kujenga nyumba polepole

Tupe maoni yako, tujadiliane, tubadilishane mawazo, tufundishane
[/QUOT
 
Waheshimiwa

Kuna jambo moja ambalo watu wengi wamekua wanalikosea bila kujua. Kwa maoni yangu:
Ni muhimu kuelewa tofauti kati ya business na investments
Ni muhimu kuzingatia suala la return on investment au Retun on Asset wakati wowote unapofanya investment au biashara. Usipozingatia haya utasema huna bahati au unalogwa. Utakua frasturated na kuchukia biashara. Mfano


Mimi na wewe tunaweza kuchukua mkopo wa million 100, tukafungua biashara tofauti. Wewe ukawa unapata faida kubwa kwa haraka kuliko mimi. Au Wewe unaweza kuanzisha biashara ambayo ni capital intensive mimi nikaanzisha biashara ambayo sio capital intensive (haihitaji mtaji mkubwa). Au wewe unaweza ukafungua biashara yenye matumizi mengi / higher expenses kama daladala/ malori kuliko mimi. Au wewe unaweza ukafungua biashara yenye risk kubwa kuliko mimi kama vile daladala zinazopata ajali kila mara nk. Au wewe unaweza kufungua bishara yenye mzunguko mkubwa wa mauzo kuliko mimi. Yote haya yataamua nani atafanikiwa kuliko mwengine baina yetu

Wakati mwengine hata structure ya biashara inaweza kuamua nani anafanikiwa kuliko mwengine. mimi na wewe wote tunaweza kuanzisha biashara inayofanana lakini tukatofautiana katika structure ya management au operations na hapo mmoja akafanikiwa kuliko mwengine. Kwamfano wote tunaweza tukanunua bajaji kwa million 6 wewe ukaingia mkataba na dereva awe anakuletea kiasi fulani mpaka itakapofika million 10 then bajaji itakua yake. Mimi nikaweka dereva tu akawa analeta hesabu na hapo mmoja wetu akafanikiwa kuliko mwengine.

Wakati mwengine usimamizi tu unaweza kuleta tofauti kubwa sana. Wewe unaweza ukawa na Lori lako liko kijijini kwenu huko kaka zako wanasimamia na mimi nna Lori langu liko hapa Dar nasimamia mwenyewe au wote tunaweza kua na Fuso ziko dar lakini wewe ukapata dereva mwenye nidhamu mimi nikapata dereva asie mwaminifu na hapo tukapata matokeo tofauti kabisa

Tofauti hizi nyingi ndogo ndogo za kiufundi hua zinaleta matokeo tofautisana katika biashara na ni mambo ya kuzingatia kama unataka ufanikiwe kibiashara. ndio maana wewe unaweza ukawa na Daladala likakushinda ukauza mwenzako akanunua hioihilo akaa nalo miaka 10 ukabaki unashangaa

Kingine ni uvumilivu na kujifunza. Ukiwa na biashara na haiendi vizuri jitahidi kuvumilia na kujifunza na kurekebisha mapungufu yako katika biashara. Uyarekebishe na kuendelea. usiruke ruke na kuanzisha biashara mpya kila mwaka

Kingine Muhimu ni kuandika mapato na matumizi yote katika biashara yako ili baada ya mwaka au miaka 2 uweze kufanya tathimini na kuamua kama uendelee au la.

Mwisho nimalizie na mfano ulioko kwenye kichwa cha habari ya bandiko hili - case study. Nimekutana na rafiki zangu kama 4 ambao wanajilaumu kwa uamuzi wao wa kujenga nyumba na kuanza kukusanya kodi. Wamekuja kugundua baadae kua faida hua ni ndogo na inachukua muda mrefu sana kupata - inachukua zaidi ya miaka 20 kubreak even na kuanza kupata real profit. Yuko mmoja ameachiwa nyumba ya urithi na anasema anatamani angeweza kuuza na hizo fedha akaingiza kwenye biashara nyingine yenye high and quick return - familia haiwezi kumruhusu. Nyumba haimpi faida yoyote ya maana tena ni kubwa mno na wapangaji hamna. Yuko mwengine yeye alichukua mortgage kama million 200 pamoja na wife wakajenga nyumba. Wamekaa wamepiga hesabu na kugundua watakapomaliza kulipa baada ya miaka kama 15 watakua wamelipa kama million 400 kwa mbinde maana malipo ya mwezi ni zaid ya million 1 ambayo inawatesa sana kwasasa. Wanajilaumu. Kwamfano: ukijenga nyumba kwa million 150 na kuanza kukusanya kodi ya 600,00 kwa mwezi itachukua miaka 21 kuweza kukusanya kodi ya million 150. Kama unajenga nyumba ya kuishi ni sahihi lakini nyumba kama biashara it might be a challenge. Furthermore, kama una million 150 wapo wanaodhani unaweza kuiingiza kwenye biashara kisha ukatumia faida ya hiyo biashara kujenga nyumba polepole

Tupe maoni yako, tujadiliane, tubadilishane mawazo, tufundishane
Kwanza. Mfanyabiashara au mfanya kazi, Ogopa sana kujenga nyumba kwa hela ya mkopo benki. itakutesa sana nyumba jengea hela ya faida au hela ya mshahara pasipo mkopo. Pili sio jambo baya kujenga nyumba ya kupanga unatakiwa utumie akili tuu nyumba pangisha laki 6 au kodi yoyote utakayo ona ipo relevant na nyumba yako, halafu hati ya nyumba kakopee benki upate hela za biashara utakua umewaza kama kocha. Risk ya hasara iliyopo kwenye nyumba ni ndogo sana compared to kwenye biashara, imagine umekopa benki milioni 100 umeingiza 70 kwenye biashara ya nguo ma agent wa bandarini wakakutapeli ukala hasara au hela ikapotea yote ukabaki na 30 unaona ujenge na 30 hiyo hunakiwanja, bado mafundi hawajakuibia endapo umeanza kujenga. so kila kitu kinafaida yake na hasara yake japokua hasara ya biashara ni kubwa kuliko ya nyumba( nyumba kama italipa taratibu lakini ni lazima utapata hela) biashara ina mwezi wa kismati. so akili kumkichwa amua unalo ona linakufaa
 
Portfolio. Usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja.

Passive income: Nyumba ya kupangisha na investments nyingine kwa kiasi kikubwa ni passive (haihitaji uwepo wako ili kuleta income....hata ukiwa mahututi kitandani income yako ipo pale pale). Kwa hivyo unapolinganisha investment na business income ni vema kuzingatia hili pia.

Yote kwa yote, jaribu kuchanganya aina za vipato.....biashara (various) na investments (various). Usitegemee biashara pekee au biashara moja au invement pekee au investment moja. Kuwa na nyumba, FDR, shares, bonds za serikali etc. Lakini pia kuwa na biashara pia.....inasaidia kuzubgusha pesa kwa haraka.
 
Nadhani tunapokosea sana ni kutojua faida inakuja baada ya muda gani? Eneo ninalojenga je linalipa? Mfano jirani yangu mjeda kachukua mkopo sijui ni kiasi gani kanunua viwanja vitatu mtaani. Kajenga nyumba tatu, mbili hazijamalizika. Alipopata mkopo kwanza kamnunulia wife Ist ya kuwapeleka watoto shule.nyumba ya kwanza imeisha ni two in one kuna mpangaji mmoja tu. Hizo mbili keshapaua lkn finishing bado naona pesa zimekata, naona wife hatumii tena IST, watoto wanasimamishwa shule pesa hakuna. Imefikia wife wake anauza mpaka bites na mboga mboga mtaani. Huyu kafanya bad investment, kwanza maeneo aliyojenga kodi haizidi laki 3. Pili katumia pesa yote kujengea bila kuwa na savings huku marejesho yanamsubiri. Hapa utaona mkopo mbaya wala haufai. Lazima kuwe na projections ya mradi mzima. Nachukua pesa kiasi gani, mradi wangu una cost kiasi gani, mida wa mradi mpaka kukamilika, eneo husika la mradi lina thamani gani, mvuto wa eneo kwa wateja, umbali na barabara kuu, pia urahisi wa kufikika, uwepo wa maji, umeme. Baada ya mradi kukamilika tozo kwa chumba itakuwa kiasi gani? Je ntaweza pata rejesho kupitia tozo hizi? Atleast sasa waweza kopa mamilioni ukijua fika mradi utalipa
Nashauri mkopo chukua ukiwa umeanzisha kitu na kimebaki asilimia chache kuwa kimekua au kimekamilika. Mfano nyumba jenga kwa pesa zako cash sio mkopo jenga mpaka ifike asilimia 80 kopa its okay. Kwa biashara, hakikisha imesha anza na imeshafahamika na wateja na ina mtaji wake, hapo kopa uiendeleze utaona faida. Siyo mtu unakopa hela za kujenga huna kiwanja huna boma la nyumba wala huna ramani ya nyumba. Unakopa huna hata kibanda cha biashara utaaibika mjini. Kopa hela fanyia finishing nyumba yako hela inabaki unafanyia biashara, kopa hela weka kwenye biashara inayo exist ili uiboost. siyo unakopa hela unanunua gari.
 
Mimi nimejifunza kucheza na FDR ambayo ukipata say 12% kwa 150m inalipa kuliko nyumba ya kupanga. Hivyo fedha yangu inagawanyika FDR na Fixed assets plus other sources of income. Hapo unaishi comfortable life tu. Kifupi nyumba ya kupangisha ya say 200m repayment yake kwa kodi ni miaka kadhaa but nikicheza na hiyo 200m kwa FDR nakuambia kuzalisha another 200mm ni muda mchache zaidi.
 
Wahindi wengi nchini hawamiliki nyumba ila wamefikia utajiri wa kutisha. Sisi wabantu tunakimbilia kujenga Mapinga, sijui Mkuranga watoto tunawapeleka st.kayumba bado utegemee maajabu maishani
Hao wahindi unaosema hawajengi bongo ni washenzi sana wao wanajenga Canada na Uingereza Tz kwao ni kama shambani tu utajenga shambani?
 
Portfolio. Usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja.

Passive income: Nyumba ya kupangisha na investments nyingine kwa kiasi kikubwa ni passive (haihitaji uwepo wako ili kuleta income....hata ukiwa mahututi kitandani income yako ipo pale pale). Kwa hivyo unapolinganisha investment na business income ni vema kuzingatia hili pia.

Yote kwa yote, jaribu kuchanganya aina za vipato.....biashara (various) na investments (various). Usitegemee biashara pekee au biashara moja au invement pekee au investment moja. Kuwa na nyumba, FDR, shares, bonds za serikali etc. Lakini pia kuwa na biashara pia.....inasaidia kuzubgusha pesa kwa haraka.
Points tupu. Mimi financial market ndiyo iliniinua kuliko hata hizo kodi za nyumba. Shares kuna maeneo niko vizuri ila mengine tunachechemea ila ndiyo kamari zenyewe. Nyumba kwa sasa na suffer kodi zimeshuka sana na wapangaji wanajijengea hivyo hii market kwa DSM inaanza kuyumba. Kifupi ni kutawanya mayai kwa kapu mbalimbali kama uwezo upo. Ila aisee ukiwa na mkwanza mzuri ukiuserka FDR say 1bn kwa 120m inalipa kwa sasa kuliko kodi za nyumba.
 
Back
Top Bottom