Je, ni demokrasia kuwashtaki wanaokosoa kataba wa bandari?

Je, ni demokrasia kuwashtaki wanaokosoa kataba wa bandari?

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,768
Reaction score
4,038
Dikteta ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake.

Dikteta uwa mtendaji mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu. Anashika pia madaraka ya kihakimu. Anaweza kuwaondoa maafisa wote wengine madarakani, anaweza kutoa hukumu ya mauti na kuagiza kifo cha mtu yeyote.

Dikteta ni mtawala mkali anayeshika mamlaka yote mkononi mwake na kutawala kwa mabavu. Mara nyingi dikteta hakubali uchaguzi wa kisiasa au anahakikisha uchaguzi si huru.

Haheshimu haki za kibinadamu kama zinamsumbua. Anatoa amri kama sheria; kama anaruhusu kuwepo kwa bunge na mawaziri ni sharti wafuate maagizo yake. Hakubali upinzani dhidi yake na matamko ya mawazo yasiyopendezwa naye.

Dicteta uwaishtaki wapinzani wake kuwa wasaliti na kushawishi mahakama ya kuwahukumu.


1691933593023.png

Je Tanzania tupo au tunaingia katika mfumo huu wa kiudikteta?
 
Tunaye
Dikteta ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake.

Dikteta uwa mtendaji mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu. Anashika pia madaraka ya kihakimu. Anaweza kuwaondoa maafisa wote wengine madarakani, anaweza kutoa hukumu ya mauti na kuagiza kifo cha mtu yeyote.

Dikteta ni mtawala mkali anayeshika mamlaka yote mkononi mwake na kutawala kwa mabavu. Mara nyingi dikteta hakubali uchaguzi wa kisiasa au anahakikisha uchaguzi si huru.

Haheshimu haki za kibinadamu kama zinamsumbua. Anatoa amri kama sheria; kama anaruhusu kuwepo kwa bunge na mawaziri ni sharti wafuate maagizo yake. Hakubali upinzani dhidi yake na matamko ya mawazo yasiyopendezwa naye.

Dicteta uwaishtaki wapinzani wake kuwa wasaliti na kushawishi mahakama ya kuwahukumu.


View attachment 2716306
Je Tanzania tupo au tunaingia katika mfumo huu wa kiudikteta?
Tunaye dikteta kwa mara nyingine tena!
 
Tanzania tupo kwenye mfumo wa udikteta toka 1961 mpaka leo ila upo chini kwa chini. Ndio maana CCM wapo madarakani mpaka leo, je unajua kwanini ccm haitoki madarakani najua watu mtasema wizi wa kura ukweli ni kwamba. CCM imejiunga na Dola. Ukisikia dola sio hela inamaanisha mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama (jeshi,usalama,polisi) ile kauli iliyotrend ya bashiru enzi hizo kwamba tutatumia dola kubaki madarakani ndicho ilichomaanisha. Huu mfumo umeigwa toka nchi za kikomunisti kama korea kaskazini na china. Mfano China chama chao cha CPC kimeungana na vyombo vya dola(jeshi,usalama,polisi) toka mwanzo, hata viongozi wa mwanzo wa china walikuaa wanajeshi kabisa. Ila sema tu china wana zali la kuwa na viongozi wenye akili nyingi mfano Deng Xiaoping ambaye ndio mipango na akili zake zimefanya china iwe tajiri mpaka leo. Sisi huo mfumo umeangukia kwa viongozi wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao wanawaza kuiba hela na kuiba kura ili washinde uchaguzi 🤣. Na Kwa hiyo udikteta ndio msingi wa taifa letu toka 1961. Hata huo uchaguzi mnaojidanganya nao, wataiba kura kama kawaida na kushinda kwa kishindo, hata katiba mpya haiwatoi ccm Madarakani😂😂, hata tume huru haiwatoi CCM madarakani 😂😂😂. Kwa hiyo Njia ya kuwatoa ccm madarakani sio kwa kura, wala maandamano, wala tume huru, wala katiba mpya.

Njia ni moja tu, ni mapinduzi ya kijeshi. Na hapo inatakiwa ndani ya jeshi watibuane na CCM mpaka waamue kwa umoja wao kama jeshi kupindua serikali ya ccm. Na hao watakaopindua inatakiwa wawe well organized na wawe na malengo ya kuipeleka nchi mbele kiuchumi ili tutoke kwenye umasikini. Kama na wenyewe wakiwaza kuiba hela za kula bata na kusaka mademu wenye tako kubwa sana 😂😂😂😂 tunakua tumekula hasara mara ya pili 😂
Kwa hiyo akina Zakaria Hanspope waliotaka kuwapindua CCM hawakua wajinga au watu wabaya kama tunavyohadithiwa inawezekana walikuwa na nia njema ila tu walizidiwa mbinu.
Ni hayo tu
 
Tanzania tupo kwenye mfumo wa udikteta toka 1961 mpaka leo ila upo chini kwa chini. Ndio maana CCM wapo madarakani mpaka leo, je unajua kwanini ccm haitoki madarakani najua watu mtasema wizi wa kura ukweli ni kwamba. CCM imejiunga na Dola. Ukisikia dola sio hela inamaanisha mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama (jeshi,usalama,polisi) ile kauli iliyotrend ya bashiru enzi hizo kwamba tutatumia dola kubaki madarakani ndicho ilichomaanisha. Huu mfumo umeigwa toka nchi za kikomunisti kama korea kaskazini na china. Mfano China chama chao cha CPC kimeungama na vyombo vya dola toka mwanzo, hata viongozi wa mwanzo wa china walikuaa wanajeshi kabisa. Ila sema tu china wana zali la kuwa na viongozi wenye akili nyingi mfano Deng Xiaoping ambaye ndio mipango na akili zake zimefanya china iwe tajiri mpaka leo. Sisi huo mfumo umeangukia kwa viongozi wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao wanawaza kuiba hela na kuiba kura. Na Kwa hiyo udikteta ndio msingi wa taifa letu toka 1961. Hata huo uchaguzi mnaojidanganya nao, wataiba kura kama kawaida na kushinda kwa kishindo, hata katiba mpya haiwatoi ccm Madarakani😂😂, hata tume huru haiwatoi CCM madarakani 😂😂😂. Kwa hiyo Njia ya kuwatoa ccm madarakani sio kwa kura, wala maandamano.

Njia ni moja tu, ni mapinduzi ya kijeshi. Na hapo inatakiwa ndani humo ya jeshi watibuane na CCM mpaka waamue kwa umoja wao kupindua ccm. Na hao watakaopindua inatakiwa wawe well organized na wawe na malengo ya kuipeleka nchi mbele kiuchumi ili tutoke kwenye umasikini. Kama na wenyewe wakiwaza kuiba hela za kula bata na kusaka mademu wenye tako kubwa sana 😂😂😂😂 tunakua tumekula hasara mara ya pili 😂
Kwa hiyo akina Zakaria Hanspope waliotaka kuwapindua CCM hawakua wajinga au watu wabaya kama tunavyohadithiwa inawezekana walikuwa na nia njema ila tu walizidiwa mbinu.
Ni hayo tu
Kweli tunahitaji mabadiliko ya kifikra, maana hii katiba ilikuwa kwa mfumo wa chama kimoja, sasa kwa huu mfumo wa vyama vingi haijitoshelezi tena
 
Mimi binafsi nikiona Live Tbc1 wanajeshi wanatangaza kupindua ccm ndio nitaamini kunapambazuka. 🤣🤣🤣🤣🤣 Makaratasi ya katiba au ya kupigia kura hayawezi kuwatoa ccm madarakani, NEVER!

Umesema kweli kuwa makaratasi hayawezi kuiondoa ccm madarakani, kwani hakuna serikali au chama kilichoingia madarakani kimapinduzi kikatoka kwa mazungumzo ya mezani
 
Tanzania tupo kwenye mfumo wa udikteta toka 1961 mpaka leo ila upo chini kwa chini. Ndio maana CCM wapo madarakani mpaka leo, je unajua kwanini ccm haitoki madarakani najua watu mtasema wizi wa kura ukweli ni kwamba. CCM imejiunga na Dola. Ukisikia dola sio hela inamaanisha mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama (jeshi,usalama,polisi) ile kauli iliyotrend ya bashiru enzi hizo kwamba tutatumia dola kubaki madarakani ndicho ilichomaanisha. Huu mfumo umeigwa toka nchi za kikomunisti kama korea kaskazini na china. Mfano China chama chao cha CPC kimeungana na vyombo vya dola(jeshi,usalama,polisi) toka mwanzo, hata viongozi wa mwanzo wa china walikuaa wanajeshi kabisa. Ila sema tu china wana zali la kuwa na viongozi wenye akili nyingi mfano Deng Xiaoping ambaye ndio mipango na akili zake zimefanya china iwe tajiri mpaka leo. Sisi huo mfumo umeangukia kwa viongozi wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao wanawaza kuiba hela na kuiba kura ili washinde uchaguzi [emoji1787]. Na Kwa hiyo udikteta ndio msingi wa taifa letu toka 1961. Hata huo uchaguzi mnaojidanganya nao, wataiba kura kama kawaida na kushinda kwa kishindo, hata katiba mpya haiwatoi ccm Madarakani[emoji23][emoji23], hata tume huru haiwatoi CCM madarakani [emoji23][emoji23][emoji23]. Kwa hiyo Njia ya kuwatoa ccm madarakani sio kwa kura, wala maandamano, wala tume huru, wala katiba mpya.

Njia ni moja tu, ni mapinduzi ya kijeshi. Na hapo inatakiwa ndani ya jeshi watibuane na CCM mpaka waamue kwa umoja wao kama jeshi kupindua serikali ya ccm. Na hao watakaopindua inatakiwa wawe well organized na wawe na malengo ya kuipeleka nchi mbele kiuchumi ili tutoke kwenye umasikini. Kama na wenyewe wakiwaza kuiba hela za kula bata na kusaka mademu wenye tako kubwa sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunakua tumekula hasara mara ya pili [emoji23]
Kwa hiyo akina Zakaria Hanspope waliotaka kuwapindua CCM hawakua wajinga au watu wabaya kama tunavyohadithiwa inawezekana walikuwa na nia njema ila tu walizidiwa mbinu.
Ni hayo tu
mkuu,huu ndo ukweli usiopingika.
 
Back
Top Bottom