Je ni dhahiri Elon Must ameprove failure, mtandao wa X bado kutamTwitter ?

Je ni dhahiri Elon Must ameprove failure, mtandao wa X bado kutamTwitter ?

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
May all souls find enlightment.

Wakuu katika wakali wa ubunifu na magineous wa nyakati hizi jina moja haliwezi kukosekana ni Elon Musk.

Huyu somo amekua na mchango mkubwa sana katika kuboresha maisha ya kizazi chetu kwa uchache tu tunaweza kuzungumzia mchango wake katika sekta technology kupitia kampuni zake za Space X, kampuni ya Tezla, Hyperloop nk nk.

Somo anatajwa kama moja ya watu wanaofanya kazi kwa juhudi sana (workholic) kuna kipindi ilisemekana somo analala ndani ya kampuni akiamka anaendelea na kazi bampa to bampa.

Majarida kadhaa ya uchumi yanamtaja kama mtu wa kwanza anaekaribia kua Trillionaire wa kwanza (Tukiachana na simulizi za kina Sulemani na Manka Mussa)

Lakini kuna jambo moja naona limemshinda huyu somo. Ubunifu wake mwingi umekua na matokeo chanya ila sio kwa kuinunua Twitter na kuibadili jina kua X. Utagundua kua kila mtandao wa X unapotajwa lazima mzungumzaji ataongezea maneno "mtandao uliofahamika kama twitter hapo awali"


Vyombo vya habari vyote ndani na nje ya nchi hata BBC, DW, Altazeera mitandao kama Quora, Linkedin. Redit nk kote utakuwa wakiutaja mtandao wa X wanaongezea maneno "formerly known as Twitter" hata baada ya miaka zaidi ya 4 kupita.

Ni kama mtandao wa X unapotajwa unahitaji kutambulishwa upwa tena na tena na tena kua ni twitter ya zamani.

download (1) (27).jpeg
 
Mods naomba mrekebishe tittle isomeke

"Je ni dhahiri Elon Musk ameprove failure, mtandao wa X bado kuta Twitter ? "​

 
May all souls find enlightment.

Wakuu katika wakali wa ubunifu na magineous wa nyakati hizi jina moja haliwezi kukosekana ni Elon Musk.

Huyu somo amekua na mchango mkubwa sana katika kuboresha maisha ya kizazi chetu kwa uchache tu tunaweza kuzungumzia mchango wake katika sekta technology kupitia kampuni zake za Space X, kampuni ya Tezla, Hyperloop nk nk.

Somo anatajwa kama moja ya watu wanaofanya kazi kwa juhudi sana (workholic) kuna kipindi ilisemekana somo analala ndani ya kampuni akiamka anaendelea na kazi bampa to bampa.

Majarida kadhaa ya uchumi yanamtaja kama mtu wa kwanza anaekaribia kua Trillionaire wa kwanza (Tukiachana na simulizi za kina Sulemani na Manka Mussa)

Lakini kuna jambo moja naona limemshinda huyu somo. Ubunifu wake mwingi umekua na matokeo chanya ila sio kwa kuinunua Twitter na kuibadili jina kua X. Utagundua kua kila mtandao wa X unapotajwa lazima mzungumzaji ataongezea maneno "mtandao uliofahamika kama twitter hapo awali"


Vyombo vya habari vyote ndani na nje ya nchi hata BBC, DW, Altazeera mitandao kama Quora, Linkedin. Redit nk kote utakuwa wakiutaja mtandao wa X wanaongezea maneno "formerly known as Twitter" hata baada ya miaka zaidi ya 4 kupita.

Ni kama mtandao wa X unapotajwa unahitaji kutambulishwa upwa tena na tena na tena kua ni twitter ya zamani.

View attachment 3106324
ila jina X limekaa kiwaki sana..kama la wapenda pono.

ndo maana ili ueleweke unaongelea X ipi wanabd wakumbushe kuwa ndo titwa.

nadhan failure ni uchaguz wa jina.
 
Back
Top Bottom