a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
JE!? ni dhambi au si dhambi kwa kujipamba miili kwa wanawake wa Kikristo.
yaani kusuka nywele za mkono au mawigi
kuvaa mapambo kutoboa sehemu za miili yao na kuvaa hereni na vikukuu
kuvaa mavazi ya kiume au yanayoacha wazi sehemu za miili yao,nguo zinazowabana na kuchora maumbile yao au nguo zinazoangaza kuonyesha michoro ya nguo za ndani,
kuvaa kupaka make ups,wanja,kujichubua rangi ya ngozi,kuvaa vitu bandia kama kucha,kope,rangi ya midomo,kufanya upasuaji wa kurekebisha kuongeza au kupunguza muonekano maumbile ,n.k
wingulamashahidi.org
View: https://youtu.be/pEARlkOVkaA?si=zq6nU5DPjxPJx7KM
View: https://youtu.be/pEARlkOVkaA?si=zq6nU5DPjxPJx7KM
yaani kusuka nywele za mkono au mawigi
kuvaa mapambo kutoboa sehemu za miili yao na kuvaa hereni na vikukuu
kuvaa mavazi ya kiume au yanayoacha wazi sehemu za miili yao,nguo zinazowabana na kuchora maumbile yao au nguo zinazoangaza kuonyesha michoro ya nguo za ndani,
kuvaa kupaka make ups,wanja,kujichubua rangi ya ngozi,kuvaa vitu bandia kama kucha,kope,rangi ya midomo,kufanya upasuaji wa kurekebisha kuongeza au kupunguza muonekano maumbile ,n.k
Je kuweka mapambo kama mikufu, vikuku na kutoboa pua ni dhambi?
wingulamashahidi.org
View: https://youtu.be/pEARlkOVkaA?si=zq6nU5DPjxPJx7KM
View: https://youtu.be/pEARlkOVkaA?si=zq6nU5DPjxPJx7KM