Je, ni dhambi au si dhambi,kujipamba miili kwa wanawake wa Kikristo?

Je, ni dhambi au si dhambi,kujipamba miili kwa wanawake wa Kikristo?

Kwa mujibu wa biblia mapambo ni dhambi.Wanaojipamba wanafanya hivyo kwa akili zao busara zao ila sinkwa msingi wa neno la biblia.(IPO NJIA IONEKANAYO KUWA NI NJEMA MACHONI PA MWANADAMU ILA MWISHO WAKE NI MAUTI).Hivi hata kwa akili ya kawaida tu MUNGU amekuumba ukiwa NATURALLY BEAUTIFUL) Mungu alipendezwa wewe uwe NATURAL hivyo ulivyo.wewe unaongeza mapambo ya bandia ARTIFICIAL lengo ili upendeze uongeze uzuri muonekano mzuri tofauti na ule wa asili Kwa maneno mengine unamsahihisha unamkosoa Mungu alivyokuumba(tatizo la afya ya akili ugonjwa wa akili huu) na kukosa kujiamini,mana unaamini vile ulivyo wewe hujakamilika.

Wanawake wanaovaa mavazi ya kiume kama suruali wanafanya hivyo kwa utashi wao sio kwa kufuata maandiko ya biblia.

HATA wachungaji wa kike na mama na watumishi wa Mungu,wanakwaya ,wazee wa kanisa,n.k nao wanapingana na biblia wanatafuta mistari ya kuunga unga kwwnye biblia kutetea kuwa eti MWANAMKE NINPAMBO,MARA NI UA,mara MUNGU haangalii nje ana angalia ndani roho ya mtu.MUNGU ANA ANGALIA NDANI NA NJE .Tena kama kwa nje tu unajipamba makucha bandia mawigi bandia n.k hata huko ndani unakojisifu rohoni unapotaka Mungu apaangalie ni most likely uwezekano pakawa bado ,maana ya ndani ROHONI ndio yanaonekana nje katika matendo./mwilini.
Umesema kweli,hadi nimekosa chakuelezea.
 
HATA BIBLIA ISINGEANDIKA USIJIPAMBE BADO HATA KWA AKILI YA KAWAIDA (kama una akili timamu) wewe MUNGU kakuumba jinsi ulivyo kama angetaka kukuumba tofauti na hivyo ulivyo si angeshakuumba na mawigi,makucha bandia,kope bandia,nyusi za wacha,rangi za midomo,tatoo angezichora,angetoboa masikio pua kwa ajili ya kuvaa haya mapambo NA WENGINE wanajipamba ili KUWAVUTIA WENGINE /WATAZAMWE .sasa kama Mungu angetaka kuumba na nywele za kiasia au kizungu asingeshindwa ila alipendezwa na nywele za kiafrica ,pia angetaka kukuumba na rangi ya light skin angekuumba hivyo ila ilimpendeza uwe na rangi ya melanin..sasa kuvaa MAKEUP na kupaka paka ma rangi NI KUMKOSOA MUNGU...na HAKUMPENDEZI MUNGU kama kungempendeza Mungu angekuumba na tofauti toka mwanzo.
Hivi binadamu mwenye akili timamu ANAWEZAJE kuvaa vitu bandia mfano wigi???hivi unavaaje wigi??nafikiri AKILI ZETU HAZINA AKILI???
 
HATA BIBLIA ISINGEANDIKA USIJIPAMBE BADO HATA KWA AKILI YA KAWAIDA (kama una akili timamu) wewe MUNGU kakuumba jinsi ulivyo kama angetaka kukuumba tofauti na hivyo ulivyo si angeshakuumba na mawigi,makucha bandia,kope bandia,nyusi za wacha,rangi za midomo,tatoo angezichora,angetoboa masikio pua kwa ajili ya kuvaa haya mapambo NA WENGINE wanajipamba ili KUWAVUTIA WENGINE /WATAZAMWE .sasa kama Mungu angetaka kuumba na nywele za kiasia au kizungu asingeshindwa ila alipendezwa na nywele za kiafrica ,pia angetaka kukuumba na rangi ya light skin angekuumba hivyo ila ilimpendeza uwe na rangi ya melanin..sasa kuvaa MAKEUP na kupaka paka ma rangi NI KUMKOSOA MUNGU...na HAKUMPENDEZI MUNGU kama kungempendeza Mungu angekuumba na tofauti toka mwanzo.
Hivi binadamu mwenye akili timamu ANAWEZAJE kuvaa vitu bandia mfano wigi???hivi unavaaje wigi??nafikiri AKILI ZETU HAZINA AKILI???
Kabisa mkuu,ulichoeleza hapo kinatekekelezwa vyema na waislam.
 
Ili iwe dhambi iongezewe kwenye zile amri kumi, hii itakuwa ni amri ya 11, inasema "usijipambe"
Kama haipo hapo basi si dhambi😜😜😜😜
BIBLIA NZIMA hakuna sehemu iliyoandika usivute TUMBAKU TOBACCO( sigara,au usivute shisha,) usitumie madawa
Ili iwe dhambi iongezewe kwenye zile amri kumi, hii itakuwa ni amri ya 11, inasema "usijipambe"
Kama haipo hapo basi si dhambi😜😜😜😜

KUNA BAADHI YA DHAMBI ZIMTAJWA KWENYE MAANDIKO MENGINE TOFAUTI NA ANDIKO LA AMRI KUMI ZA MUNGU.Kifupi amri kumi za Mungu hazijataja dhambi zote zilizokatazwa na Mungu.Ukisoma biblia utaziona dhambi nyingine kama.
1)KIBURI
2)UCHOYO
3)MASENGENYO
4)ULEVI
5)UCHAFU
6)UADUI
7)UFISADI
9)UGOMVI
10)MALUMBANO
11)MIZAHA
13)IBADA ZA SANAMU...hii ibada za sanamu ni vitu vingi SANA SANA vinaingia hapa -ni kundi la dhambi nyingi sana zinaangukia kwwnye ibada ya sanamu
14)HASIRA
15)FITINA
16)FARAKA
17)UZUSHI
18)MAJIVUNO
19)HUSUDA
20) UCHOKOZO/KUCHOKOZANA
21)Kuhukumu /usihukumu hukumu ni kazi ya Mungu
22)KISASI usilipe kisasi kisasi ni kazi ya Mungu
23)Kutokusamehe na kumbeba moyoni mtu aliyekukosea /kinyongo
24)KUMTUMAINIA KUMTEGEMEA MWANADAMU kumfanya mwanadamu ndio tumaini lako badala ya Mungu.

25)na kuna dhambi nyingine hazijaandikwa kabisa kwenye biblia mfano matumizi ya TUMBAKU/TOBACCO yamegunduliwa baada ya biblia kuandikwa mfano huwezi kukuta andiko linalosema USIVUTE SIGARA/SHISHA/UGORO/BANGI/MADAWA YA KULEVYA.
N.K ila tumeambiwa tuenende tukiongozwa na ROHO MTAKATIFU..tusienende kwa kufuata akili zetu wenyewewe au kwa kufuata tamaa mbaya za mwili..tusiipende dunia.
Ila tumeambiwa miili yetu ni hekalu la Roho mtakatifu hivyo tusi inajisi kwa kutumia vitu vinavyoharibu miili yetu tusiiharibu tusi idhuru wala tusiichafue miili yetu mana ni hekalu la Roho mtakatifu.

26)KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU...ni dhambi ambayo haijaandikwa kwenye amri 10

27)KUCHANJA CHALE
28)KUCHORA TATOO
29)IBADA ZA WAFU KUTAMBIKIA MIZIMU,KUOMBA WAFU WALIOKUFA
30)DHIHAKA
31)POMBE NA ULEVI
32)KUJIPAMBA
33)CHUKI ,nk.
 

Attachments

  • Screenshot_20250106-231514.jpg
    Screenshot_20250106-231514.jpg
    297.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250106-225613.jpg
    Screenshot_20250106-225613.jpg
    49.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250106-225121.jpg
    Screenshot_20250106-225121.jpg
    103.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250106-224859.jpg
    Screenshot_20250106-224859.jpg
    163.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250106-165146.jpg
    Screenshot_20250106-165146.jpg
    257.9 KB · Views: 1

 
JE!? ni dhambi au si dhambi kwa kujipamba miili kwa wanawake wa Kikristo.
yaani kusuka nywele za mkono au mawigi
kuvaa mapambo kutoboa sehemu za miili yao na kuvaa hereni na vikukuu
kuvaa mavazi ya kiume au yanayoacha wazi sehemu za miili yao,nguo zinazowabana na kuchora maumbile yao au nguo zinazoangaza kuonyesha michoro ya nguo za ndani,
kuvaa kupaka make ups,wanja,kujichubua rangi ya ngozi,kuvaa vitu bandia kama kucha,kope,rangi ya midomo,kufanya upasuaji wa kurekebisha kuongeza au kupunguza muonekano maumbile ,n.k


View: https://youtu.be/pEARlkOVkaA?si=zq6nU5DPjxPJx7KM

View: https://youtu.be/pEARlkOVkaA?si=zq6nU5DPjxPJx7KM

Usiamini usanii kutoka dini za watu wa nje, utapotoka. Fanya yanayo kufurahisha kwani Mungu anataka wanawe tuwe na amani na furaha.
 
Usiamini usanii kutoka dini za watu wa nje, utapotoka. Fanya yanayo kufurahisha kwani Mungu anataka wanawe tuwe na amani na furaha.
Amani na FURAHA ya Mungu ni mojawapo ya matunda ya ROHO MTAKATIFU...yani wenye Roho mtakatifu wana FURAHI katika BWANA na wana amani iliyotoka kwa BWANA MUNGU,kwa utukufu wa Mungu.
NI KWELI watu wa Mungu wasiotenda dhambi ikiwemo ya kujipamba WANA FURAHA NA AMANI KATIKA BWANA KWA UTUKUFU WA BWANA.

SIO KWELI kwamba walioacha kujipamba kwa ajili ya kufanya kila jambo kwa utukufu wa Mungu (kuyatenda mapenzi ya Mungu) hawana furaha au amani.Wanayo Amani ya Roho kutoka kwa Mungu(Pia wana furahi katika Bwana)
Hawajapungukiwa kitu.
 
Amani na FURAHA ya Mungu ni mojawapo ya matunda ya ROHO MTAKATIFU...yani wenye Roho mtakatifu wana FURAHI katika BWANA na wana amani iliyotoka kwa BWANA MUNGU,kwa utukufu wa Mungu.
NI KWELI watu wa Mungu wasiotenda dhambi ikiwemo ya kujipamba WANA FURAHA NA AMANI KATIKA BWANA KWA UTUKUFU WA BWANA.

SIO KWELI kwamba wasiojipamba kwa utukufu wa Mungu hawana furaha au amani
Simply put, raha jipe mwenyewe.....ukifuatilia kuishi maisha ya dini za kuletewa utalostika. There's nothing to them zaidi ya kupotoshana tu.
 
.Yesu anawapenda wenye dhambi,neema ya Mungu inawasubiri wenye dhambi waje watubu,upendo wa Mungu hauhukumu wenye dhambi..Mungu anapenda wote tuziache njia zetu mbaya .(Anawapenda wenye dhambi wote ili waaache dhambi kwa kuwa dhambi ni mauti,dhambi ni kitu cha kuchukiwa kama tunavyochukia mauti)DHAMBI=MAUTI..
 

Attachments

  • images - 2024-12-27T230616.291.jpeg
    images - 2024-12-27T230616.291.jpeg
    55.7 KB · Views: 1
BIBLIA NZIMA hakuna sehemu iliyoandika usivute TUMBAKU TOBACCO( sigara,au usivute shisha,) usitumie madawa

KUNA BAADHI YA DHAMBI ZIMTAJWA KWENYE MAANDIKO MENGINE TOFAUTI NA ANDIKO LA AMRI KUMI ZA MUNGU.Kifupi amri kumi za Mungu hazijataja dhambi zote zilizokatazwa na Mungu.Ukisoma biblia utaziona dhambi nyingine kama.
1)KIBURI
2)UCHOYO
3)MASENGENYO
4)ULEVI
5)UCHAFU
6)UADUI
7)UFISADI
9)UGOMVI
10)MALUMBANO
11)MIZAHA
13)IBADA ZA SANAMU...hii ibada za sanamu ni vitu vingi SANA SANA vinaingia hapa -ni kundi la dhambi nyingi sana zinaangukia kwwnye ibada ya sanamu
14)HASIRA
15)FITINA
16)FARAKA
17)UZUSHI
18)MAJIVUNO
19)HUSUDA
20) UCHOKOZO/KUCHOKOZANA
21)Kuhukumu /usihukumu hukumu ni kazi ya Mungu
22)KISASI usilipe kisasi kisasi ni kazi ya Mungu
23)Kutokusamehe na kumbeba moyoni mtu aliyekukosea /kinyongo
24)KUMTUMAINIA KUMTEGEMEA MWANADAMU kumfanya mwanadamu ndio tumaini lako badala ya Mungu.

25)na kuna dhambi nyingine hazijaandikwa kabisa kwenye biblia mfano matumizi ya TUMBAKU/TOBACCO yamegunduliwa baada ya biblia kuandikwa mfano huwezi kukuta andiko linalosema USIVUTE SIGARA/SHISHA/UGORO/BANGI/MADAWA YA KULEVYA.
N.K ila tumeambiwa tuenende tukiongozwa na ROHO MTAKATIFU..tusienende kwa kufuata akili zetu wenyewewe au kwa kufuata tamaa mbaya za mwili..tusiipende dunia.
Ila tumeambiwa miili yetu ni hekalu la Roho mtakatifu hivyo tusi inajisi kwa kutumia vitu vinavyoharibu miili yetu tusiiharibu tusi idhuru wala tusiichafue miili yetu mana ni hekalu la Roho mtakatifu.

26)KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU...ni dhambi ambayo haijaandikwa kwenye amri 10

27)KUCHANJA CHALE
28)KUCHORA TATOO
29)IBADA ZA WAFU KUTAMBIKIA MIZIMU,KUOMBA WAFU WALIOKUFA
30)DHIHAKA
31)POMBE NA ULEVI
nk.
Naona pia katika hi
BIBLIA NZIMA hakuna sehemu iliyoandika usivute TUMBAKU TOBACCO( sigara,au usivute shisha,) usitumie madawa

KUNA BAADHI YA DHAMBI ZIMTAJWA KWENYE MAANDIKO MENGINE TOFAUTI NA ANDIKO LA AMRI KUMI ZA MUNGU.Kifupi amri kumi za Mungu hazijataja dhambi zote zilizokatazwa na Mungu.Ukisoma biblia utaziona dhambi nyingine kama.
1)KIBURI
2)UCHOYO
3)MASENGENYO
4)ULEVI
5)UCHAFU
6)UADUI
7)UFISADI
9)UGOMVI
10)MALUMBANO
11)MIZAHA
13)IBADA ZA SANAMU...hii ibada za sanamu ni vitu vingi SANA SANA vinaingia hapa -ni kundi la dhambi nyingi sana zinaangukia kwwnye ibada ya sanamu
14)HASIRA
15)FITINA
16)FARAKA
17)UZUSHI
18)MAJIVUNO
19)HUSUDA
20) UCHOKOZO/KUCHOKOZANA
21)Kuhukumu /usihukumu hukumu ni kazi ya Mungu
22)KISASI usilipe kisasi kisasi ni kazi ya Mungu
23)Kutokusamehe na kumbeba moyoni mtu aliyekukosea /kinyongo
24)KUMTUMAINIA KUMTEGEMEA MWANADAMU kumfanya mwanadamu ndio tumaini lako badala ya Mungu.

25)na kuna dhambi nyingine hazijaandikwa kabisa kwenye biblia mfano matumizi ya TUMBAKU/TOBACCO yamegunduliwa baada ya biblia kuandikwa mfano huwezi kukuta andiko linalosema USIVUTE SIGARA/SHISHA/UGORO/BANGI/MADAWA YA KULEVYA.
N.K ila tumeambiwa tuenende tukiongozwa na ROHO MTAKATIFU..tusienende kwa kufuata akili zetu wenyewewe au kwa kufuata tamaa mbaya za mwili..tusiipende dunia.
Ila tumeambiwa miili yetu ni hekalu la Roho mtakatifu hivyo tusi inajisi kwa kutumia vitu vinavyoharibu miili yetu tusiiharibu tusi idhuru wala tusiichafue miili yetu mana ni hekalu la Roho mtakatifu.

26)KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU...ni dhambi ambayo haijaandikwa kwenye amri 10

27)KUCHANJA CHALE
28)KUCHORA TATOO
29)IBADA ZA WAFU KUTAMBIKIA MIZIMU,KUOMBA WAFU WALIOKUFA
30)DHIHAKA
31)POMBE NA ULEVI
nk.
Naona katika hii list ya dhambi ya ziada bado ya kujipamba haimo, hivyo sio dhambi 😜😜
 
DHAMBI Z
Naona pia katika hi

Naona katika hii list ya dhambi ya ziada bado ya kujipamba haimo, hivyo sio dhambi 😜😜
LIST YA DHAMBI ZOTE ZIPO HUWEZI KUZIANDIKA ZOTE NI nyingi sana,hata MAWAZO MABAYA,MANENO MABAYA MATUSI...KAMARI michezo ya kubahatisha KUBETI ,KUANGALIA SINEMA za violence ,michezo ya kupigana,mieleka,mashindano ya urembo na kujipamba UMISS mitindo AU MAPAMBO NA KUJIPAMBA
supee heros superman,batman,spider man movies,
NYIMBO.miziki ya kidunia hata hii inayodhaniwa kuwa ni gospel ila ina midundo ya kidunia kama hiphop au ina verse zenye maudhui ya kidunia,
SHEREHE za kidunia kama hollowen christmas,n.k
LIST NI NDEFU...kusogeza mpaka wa kiwanja chako kwa jirani..
KUCHUKUA AU KUTUMIA kitu cha mtu mwingine bila ruhusa yake hata kama ni kitu kidogo kama mfano..UNATUMIA JIKO LA JIRANI YAKO KUPASHA MBOGA halafu bila ruhusa ya jirani yako au kalamu ya mwenzako ofisini au chaja bila ruhusa yako(NI WIZI)
Kushabikia michezo ya kidunia hata ushabiki wa damu wa timu za mpira wa soccer n.k
DHAMBI ZOTE NI ROHO KAMILI na vitu vitaongea kushuhudia kudai HUKUMU mfano kalamu itaongea kukushitaki hukumu japo zinaonekana ni dhambi ndogo ndogo ,mfano kutumia tu kalamu ya mtu bila ruhusa yake

KWA KIFUPI ..tunahitaji toba kila wakati, kila siku kwa kuwa sisi ni wenye dhambi ,tuombe USAIDIZI ROHO MTAKATIFU MSAIDIZI WETU maana bila msaada wa Roho mtakatifu kutufundisha na kutupa nguvu ya kuziepuka dhambi ,atatusaidia pia kutufundisha kuomba kusali pia.

KWA AKILI ZETU KWA NGUVU ZETU PEKE YETU BILA HIYO NEEMA YAKE HATUWEZI KUSHINDA DHAMBI KUZIACHA DHAMBI kwa sababu mwili ni dhaifu unapenda raha na dhambi zinaonekana kama ni TAMU au ni raha au starehe au ufahari.
 

Attachments

  • 1280x1280.jpg
    1280x1280.jpg
    35.7 KB · Views: 2
  • images - 2025-01-08T223010.030.jpeg
    images - 2025-01-08T223010.030.jpeg
    36.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250108-223313.jpg
    Screenshot_20250108-223313.jpg
    218 KB · Views: 3
Kabisa mkuu,ulichoeleza hapo kinatekekelezwa vyema na waislam.
Mungu amemuumba mwanadamu kwa mafano wake na akampa akili na utashi kumtofautisha na wanyama wengine. Akili na utashi ili siyo kumrekebisha Mungu bali aweze kujiweka katika mazingira na uwezo wa kumudu mazingira ya kidunia, mfano Mungu hakuumba jembe lakini mwanadamu anatengeneza jembe ili alime na aweze kukidhi njaa yake. Au Mungu ameumba mbu na mwanadamu anatengeneza chandarua kumdhibiti mbu au anatengeneza dawa za kuua maradhi yanayoletwa au kusambazwa na mbu. Kadhalika wanadamu tumeumbwa na silika au maumbile tofauti mfano jasho hutoa harufu tofauti tofauti nyingine kali na nyingine siyo kali, je kutengeneza 'perfume' ni kumkosoa Mungu? Au kutengeneza sabuni ni kumkosoa Mungu? Maana tumezaliwa kama wanyama wengine ambao mama zao hufanyakazi ya kuwasafisha kwa ndimi zao na midomo yao, je wanadamu wangefanya hivyo hivyo. Nini basi maana ya akili na utashi? Umewataja waislamu, sijui una maana gani, fafanua!
 
BIBLIA NZIMA hakuna sehemu iliyoandika usivute TUMBAKU TOBACCO( sigara,au usivute shisha,) usitumie madawa

KUNA BAADHI YA DHAMBI ZIMTAJWA KWENYE MAANDIKO MENGINE TOFAUTI NA ANDIKO LA AMRI KUMI ZA MUNGU.Kifupi amri kumi za Mungu hazijataja dhambi zote zilizokatazwa na Mungu.Ukisoma biblia utaziona dhambi nyingine kama.
1)KIBURI
2)UCHOYO
3)MASENGENYO
4)ULEVI
5)UCHAFU
6)UADUI
7)UFISADI
9)UGOMVI
10)MALUMBANO
11)MIZAHA
13)IBADA ZA SANAMU...hii ibada za sanamu ni vitu vingi SANA SANA vinaingia hapa -ni kundi la dhambi nyingi sana zinaangukia kwwnye ibada ya sanamu
14)HASIRA
15)FITINA
16)FARAKA
17)UZUSHI
18)MAJIVUNO
19)HUSUDA
20) UCHOKOZO/KUCHOKOZANA
21)Kuhukumu /usihukumu hukumu ni kazi ya Mungu
22)KISASI usilipe kisasi kisasi ni kazi ya Mungu
23)Kutokusamehe na kumbeba moyoni mtu aliyekukosea /kinyongo
24)KUMTUMAINIA KUMTEGEMEA MWANADAMU kumfanya mwanadamu ndio tumaini lako badala ya Mungu.

25)na kuna dhambi nyingine hazijaandikwa kabisa kwenye biblia mfano matumizi ya TUMBAKU/TOBACCO yamegunduliwa baada ya biblia kuandikwa mfano huwezi kukuta andiko linalosema USIVUTE SIGARA/SHISHA/UGORO/BANGI/MADAWA YA KULEVYA.
N.K ila tumeambiwa tuenende tukiongozwa na ROHO MTAKATIFU..tusienende kwa kufuata akili zetu wenyewewe au kwa kufuata tamaa mbaya za mwili..tusiipende dunia.
Ila tumeambiwa miili yetu ni hekalu la Roho mtakatifu hivyo tusi inajisi kwa kutumia vitu vinavyoharibu miili yetu tusiiharibu tusi idhuru wala tusiichafue miili yetu mana ni hekalu la Roho mtakatifu.

26)KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU...ni dhambi ambayo haijaandikwa kwenye amri 10

27)KUCHANJA CHALE
28)KUCHORA TATOO
29)IBADA ZA WAFU KUTAMBIKIA MIZIMU,KUOMBA WAFU WALIOKUFA
30)DHIHAKA
31)POMBE NA ULEVI
nk.
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾kwisha habari angu
 
Back
Top Bottom