Tumeagizwa tuonywe bidii kutafuta amani na kila mtu anayetuzunguka, haimaanishi kuwa hatuwezi kuwa na maadui hapana, lakini sisi hatupaswi kuwa na uhasama..
Kiburi ni nini? Kulingana na biblia kiburi “ni hali ya mtu kujiinua kifikra, na kuamini kuwa hahitaji msaada wowote kutoka kwingine”. Hali hii inaambat