Je ni haki kwa mafundi ujenzi wanaojenga nyumba za serikali kwa force account kuzungushwa katika malipo yao??

Je ni haki kwa mafundi ujenzi wanaojenga nyumba za serikali kwa force account kuzungushwa katika malipo yao??

Joined
Mar 26, 2023
Posts
7
Reaction score
2
Mimi ni fundi ujenzi (majengo) katika wilaya X ninajenga na kufanya kazi za serikali kwa njia ya force account lakini ikifika swala la malipo ninazungushwa sana mara taarifa zinakuja eti kunamaboresho ya mfumo sasa yapata miezi mitatu tangu marekebisho yasemekane kwani hayaishi?? Maana tunaathirika sisi wa chini
 
Je ndio mara yako ya kwanza kufanya nao KAZI?
 
Ukikopa ili ufanye kazi na serikali, seriously utafilisika na wengi imewatokea hiyo km unamfuko wako unaweza kufanya kazi nao ukasubiri malipo hata miaka miwili fanya nao kazi
 
Mimi ni fundi ujenzi (majengo) katika wilaya X ninajenga na kufanya kazi za serikali kwa njia ya force account lakini ikifika swala la malipo ninazungushwa sana mara taarifa zinakuja eti kunamaboresho ya mfumo sasa yapata miezi mitatu tangu marekebisho yasemekane kwani hayaishi?? Maana tunaathirika sisi wa chini
Mifumo ni kawaida kusumbua malipo especially mwaka mpya wa fedha unapoanza Julai kuendelea.
Hivyo kuwa mvumilivu pesa za serikali hazidhurumiki.
 
Back
Top Bottom