Je ni haki?

HAHAHAH!NGUMU KUMEZA HIYO MKUU fansida
 


hivi kwanini mtu ujitese, kwanini ufanye kumridhisha yeye tu angali limekuboa? mie hapana bwana, ni njia nzuri ya kuweka mambo sawa nakubali lakini sio hata hatujaonelea na kutaka muafaka mtu arukie kutomasa....kwangu hapana.
 

Mi namshukuru Mungu kwa kuninyima uvumilivu! Game lazima acheze! Na kwa hasira siku akiwa kwenye joto anahitaji huduma, mtarimbo unaweka mgomo. Sijui atauamshaje bila hiari yangu?
 

huyo jamaa anafaa kuwa mchungaji achunge kondoo wa bwana
 
Hakuna ugomvi utakaomruhusu mke wangu kuninyima game! Mi hata kama pafomensi itakuwa low kama ya punyet.o, Mi mtarimbo wangu ukishatema najilalia zangu na ugomvi unaendelea kama kawa! Ugomvi wa mdomoni hauna uhusiano na ushirikiano wa baioloji zetu!

Kweli mpwa umedata! does it mean utakuwa unatetea maslahi binafsi tu?
 

Hapa ana haki. Hata mimi nikukute live na jamaa fulani mnapeana raha, usirudi kwangu. teh teh
 
hivi kwanini mtu ujitese, kwanini ufanye kumridhisha yeye tu angali limekuboa? mie hapana bwana, ni njia nzuri ya kuweka mambo sawa nakubali lakini sio hata hatujaonelea na kutaka muafaka mtu arukie kutomasa....kwangu hapana.

za kinyamayao zinalipa asikwambie mtu!!! nasisitiza hali mpaka tufikie mwafaka
 
ndo maana kesi za mahazbendi kuwarepu mawaifu zinaongezeka bikozi ya hizi azabu ambazo haziko kwenye katiba ya serikali aka mgomo cold.
 
hivi kwanini mtu ujitese, kwanini ufanye kumridhisha yeye tu angali limekuboa? mie hapana bwana, ni njia nzuri ya kuweka mambo sawa nakubali lakini sio hata hatujaonelea na kutaka muafaka mtu arukie kutomasa....kwangu hapana.

Kweli nyamayao but mbona wanakimbia kujibu kama wao ndo tumewaudhi halafu pruuuu tunakimbilia gemu watatupa?

Mwengine utakuta anajua kabisa amekubore na atajichelewesha kurudi nyumbani au kuingia chumbani kwa kuhofia kusemwa na atavizia umeshapitiwa na usingizi then anapanda kitandani na kuanza kukugusisha na tochi kama anagonga hodi vile!!
 


kwanza kwanini ujitese kumridhisha mtu aliekuhudhi/kacrisha?...haombi msamaha bali akili yake ipo hapo chini tu....mie kwangu hili gumu sana....nataka niridhike/nimridhishe.
 
Kweli mpwa umedata! does it mean utakuwa unatetea maslahi binafsi tu?

Maslahi binafsi shurti yatetewe! Yani tugombane kwakuwa sijakupitia kazini, au nimesusia send off party ya rafiki yako, afu ugomvi huo usababishe mtarimbo ukose haki yake! Mama utatoa mzigo, utake usitake. Usipotoa ushirikiano poa tu bora nshakojoa nna shida gani?
 

its always about them!! selfish creatures!!! si umeona wanvyorespond lakini???
 
ndo maana kesi za mahazbendi kuwarepu mawaifu zinaongezeka bikozi ya hizi azabu ambazo haziko kwenye katiba ya serikali aka mgomo cold.

Mbona wakati wa ugalfriend na uboifriend mlikuwa mnabembeleza tena hata bila kuwaudhi? Mlikuwa mnakumbuka kununua na mauwa ya baby please!! Kwa nini mnashindwa kuwabembeleza wake zenu pale mnapowaudhi? Au ndo yale ya nimekuoa na nimekutolea mahari?
 
kwanza kwanini ujitese kumridhisha mtu aliekuhudhi/kacrisha?...haombi msamaha bali akili yake ipo hapo chini tu....mie kwangu hili gumu sana....nataka niridhike/nimridhishe.

ni haki ya wandoa wote wawili sasa kama ntafanya nikiwa out of mood si nadhulumiwa kabisa hapo!!!!!

BTW hivi ndo zinaitwaga conjugal rights eeh???
 
nipo akili kichwani endelea
na kwa kuongezea tu kidogo unapomnyima mwenzio kitu yake ndo unampa tiketi ya kwenda kutafuta za kulipia

hapo safi sana. unajua ngja nikupe siri. hihi ni vere spesho and powerful.

hata mzee akisimama mbele ya hakimu anakutwanga talaka, mkonyeze namna unavyomkonyeza wakati wa gemu la mchana (kama lipo), nakuapia mwenyewe ataomba hakimu aahirishe shauri akatafakari upya!!!!!!

siku zote usijihesabu wewe, bali mhesabu mzee wako. kasirika hadi damu ivuje masikioni, lakini kabla hujalala, chukua zana zako uziweke pale mzee anapopajua ili ajue uko tayari ku-compromize, nakuambia akiona zana tu atakurukia na mzozo ndio unaishia hapohapo.
 


mbona hiyo kurudi ucku haifanyi umnyime mtu unyumba, kuna ishuz bwana ndani humo zinafanya hata akuguse unahic anakuchubua......hayo ya kurudi ucku ni mambo madogo madogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…