nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Nimewaza bora niuwe ndege wawili kwa jiwe 1 vip hii inaweza kufaa na vip changamoto zake?maana itakua two in one. Asanteni wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wanaekaga chumba na kitanda humo baada ya kuoshwa uso unachuja humo humo kwa dau zaidiNimewaza bora niuwe ndege wawili kwa jiwe 1 vip hii inaweza kufaa na vip changamoto zake?wana itakua two in one. Asanteni wakuu.
Hapana mimi nina imani ambayo haini ruhusu mambo ya massage ni harufu ya zinaaWenzio wanaekaga chumba na kitanda humo baada ya kuoshwa uso unachuja humo humo kwa dau zaidi
Ongeza nyama mkuu1.Fanya unalowaza
2.trust GOD
Vitendo kwa vip?Karibu ubunifu wako Huenda ukafanikiwa,wazo zuri,vitendo Sasa!
Ufanye kwa moyo na usibabaike na maneno ya wapambe yenye kukatisha Tamaa,piga kazi kama Nyuki.Vitendo kwa vip?
Aisee. Shukrani vip changamoto zakeKama umepata wazo la kufanya hivyo weka uangalie watu watapokeaje pia kwangu Mimi naona umebuni Jambo kubwa Sana maana umejitofautisha na wengine...mawazo kama yako kwenye biashara ni muhimu Sana maana muda wote unakuwa MTU wa KUJIONGEZA.
kama upo vizuri andaa kabisaa wazo lako ndani ya wiki ya kesho
Pengine wanaweza kuja na maneno gani?Ufanye kwa moyo na usibabaike na maneno ya wapambe yenye kukatisha Tamaa,piga kazi kama Nyuki.
Sawa vip changamoto?Good idea bro fanya kile kitu moyo unapenda unaweza kuja na wazo la peke yako likakunufaisha
Wacha watu wafanye yanayo wezekana kujipatia riziki kikubwa iwe halaliNimewaza bora niuwe ndege wawili kwa jiwe 1 vip hii inaweza kufaa na vip changamoto zake?maana itakua two in one. Asanteni wakuu.
Aisee sasa nifanye vip kuepuka kukosa wateja?Mimi naona kama inakuwa na watu wamekaa kama wakiweka muvi ....jiandae kupoteza client Wa hadhi kubwa ...Hawa jamaa hawataki jam
Changamoto ni weteja wa saloon wengine wanaweza kukuhama,hawataki kelele za mamovie!Aisee. Shukrani vip changamoto zake
Pale sioneshi moves nakua nawaingizia tu watu sio kibanda umizaChangamoto ni weteja wa saloon wengine wanaweza kukuhama,hawataki kelele za mamovie!
Unatamaa wewe mara ungeweka Chumba kingine kwa ajili ya movie nk.Sasa wewe pambana kama ulivyoamua!Pengine wanaweza kuja na maneno gani?
Weka kwa nje ya saloon acha kuchanganya ndani unaweza kosa watu wa kunyoa sababu ya hayo mambo Kuna watu hawapendinmovie library wakiona humo ndani ndonumewakosaNimewaza bora niuwe ndege wawili kwa jiwe 1 vip hii inaweza kufaa na vip changamoto zake?maana itakua two in one. Asanteni wakuu.