2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Habari wanajamvi? kwenye jukwaa hili sio maarufu sana ila nisaidieni hili:
Nina mke nampenda sana hata yeye anajua nampa misifa kama yote kama ilivyo ugonjwa wao. sijawai kutoa sifa kwa jinsia ya kike mbele yake hata siku 1.
Hii imenikuta last week,nilisemwa sana japo sikuwa na nia mbaya.
HOJA ZAKE
1. Ww umeoa kwanni umsifie mwanamke mwingine wakati hizo sifa mm ndio nastahili?
2. Mahusiano huwa yanaanza kwa vitu vidogo vidogo kama kumsifia mwanamke,una agenda gani?
3. Je mm nikimsifia mwanaume mbele yako utafurahi?
Sikuweza kupangua hoja zake basi nikaomba samahani tu. Sababu hoja zake 2 na 3 naziunga mkono.
Wanandoa heb nisaidieni hapo.
Nina mke nampenda sana hata yeye anajua nampa misifa kama yote kama ilivyo ugonjwa wao. sijawai kutoa sifa kwa jinsia ya kike mbele yake hata siku 1.
Hii imenikuta last week,nilisemwa sana japo sikuwa na nia mbaya.
HOJA ZAKE
1. Ww umeoa kwanni umsifie mwanamke mwingine wakati hizo sifa mm ndio nastahili?
2. Mahusiano huwa yanaanza kwa vitu vidogo vidogo kama kumsifia mwanamke,una agenda gani?
3. Je mm nikimsifia mwanaume mbele yako utafurahi?
Sikuweza kupangua hoja zake basi nikaomba samahani tu. Sababu hoja zake 2 na 3 naziunga mkono.
Wanandoa heb nisaidieni hapo.