Je,ni halali kumtuhumu mwenzio mwanzo wa safari?

Sasa kama hana wasiwasi analia nini?Na yeye angemjibu kua hawezi kufanya hivyo kwahiyo likitokea lolote yeye (mume) ndo mhusika!

Lizzy,
jamaa kafanya la maana sana kuvunja ukimya! Ujue da issue is wengi wenu wanawake mkitoka nje huwa mnadata end of da day mnasahau hata kutumia kinga na hii haina ubishi coz nyie mkizidiwa tu mnataka mnanihiii tu hamna ushawishi wa kutumia zana.
Tofauti na wanaume sie huwa waangalifu ktk matumizi ya dhana kunakomajamboooooz ndo maana anamalert mtoto asichakachue kizembe
 
Kwahiyo kumbe hiyo ni ruhusa yakuchakachuliwa nje,ila kinga izingatiwe ehh?
 



He,,,,baba yaani mimi kujiheshimu kwangu na kuaminiwa kwangu ndio kosa langu?Naomba usome post yangu namba tano hapo juu labda utanielewa mimi ni mtu wa aina gani.
 
Hapo huyo jamaa hajakosea kujihami ila kosa ni vile ujumbe ulivyofikishwa uko too direct.
 
Hapo huyo jamaa hajakosea kujihami ila kosa ni vile ujumbe ulivyofikishwa uko too direct.

Jamaa amekosea sana kulifanya kuwa jukumu la mke wake tu na yeye kujitoa, na tayri ameweka doa kwa mkewe maisha yao yote. Kwani unaweza kutamka neno ndani ya sekunde mbili tu lakini lisifutike maishani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…