Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Sasa kama hana wasiwasi analia nini?Na yeye angemjibu kua hawezi kufanya hivyo kwahiyo likitokea lolote yeye (mume) ndo mhusika!
Lizzy,
jamaa kafanya la maana sana kuvunja ukimya! Ujue da issue is wengi wenu wanawake mkitoka nje huwa mnadata end of da day mnasahau hata kutumia kinga na hii haina ubishi coz nyie mkizidiwa tu mnataka mnanihiii tu hamna ushawishi wa kutumia zana.
Tofauti na wanaume sie huwa waangalifu ktk matumizi ya dhana kunakomajamboooooz ndo maana anamalert mtoto asichakachue kizembe