Je, ni halali kununua pesa chafu na pesa za kigeni mtaani??

Je, ni halali kununua pesa chafu na pesa za kigeni mtaani??

Elly255

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
884
Reaction score
1,432
Wanajamvi habari zenu.
Naamini mko vyema na mnaendelea kupambana.

Kuna hii ishu huwa naifikiria sana. Mtaani kuna vijana huwa wanapita na spika wakitangaza kununua pesa mbovu na dola na pesa zingine za kigeni.
Je kwa sheria za fedha za nchini kuna uhalali wa kufanya hii biashara??
Na kwanini pesa mbovu iuzwe wakati ukienda bank unatakiwa upewe ingine mpya.
Wajuzi wa mambo naombeni ufafanuzi wa hili
 
Swali lako linachemsha ubongo..
IMG_20181118_141546_331.jpeg
 
Wajinga ndio waliwao , kama unazo unashindwa kwenda benki kuu mwenyewe ? Kusanya kidogo kidogo zikifika kiasi ambacho ukienda hutapoteza mda nenda . Hudaiwi lolote .
 
Back
Top Bottom