Je, ni halali kwa anayejiita CHIEF GODLOVE kuja Jamii Forums kutukana watu?

Je, ni halali kwa anayejiita CHIEF GODLOVE kuja Jamii Forums kutukana watu?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Wakuu salama!

Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.

Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.

Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.

Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.

Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?

MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?

Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.

NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.

Nawasilisha
 
Wakuu salama!

Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.

Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.

Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.

Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.

Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?

MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?

Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.

NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.

Nawasilisha

Mkuu si anatukana maskini na JF wote si ni matajiri?
 
Halali kabisa,umasikini ni pepo lazima kukemea kwa njia yoyote ile ikibidi kuutukana,hapo hakutukani wewe bali anatukana umasikini
 
Wakuu salama!

Ingawa hii forum ni ya kila mtu, lakini ni moja ya jukwaa kubwa sana la kiswahili Africa na Dunia kwa ujumla.

Ni forum ambayo kuna watu wa maana sana, kuna wasomi na watu wenye experience kubwa sana.

Kuna matajiri na watu wenye hekima kubwa sana, ni sehemu pekee unayoweza ku interact na mawaziri na wakuu wa taasisi mbali mbali.

Ni jukwaa unaloweza kupata taarifa ambazo huwezi kupata kwenye source yoyote Tanzania.

Je, kitendo cha huyu bwana kuanzisha uzi special kwa ajili ya kutukana watu kwa kisingizio cha KUTAFUTA HELA NI HALALI ?

MODS mko wapi, Max na wenzako mko wapi ?

Najua utani upo, Sometimes kuredresh kupo ? Ila naona it's too much.

NB: Sio chuki binafsi ila naona tuanze kurudisha misingi ya jamiiforum ya mwaka 2015 kushuka chini.

Nawasilisha
Muwe mnafikiria na kucanya utafiti kabla hamjalaumu watu. Huyo sio Goodlove kama ambavyo mi sio muuza madafu wa Ikulu.

Jamaa alikuwa na ID yake alichofanya ni kubadilisha ID na kujiita jina la huyo jamaa sawa na mimi nilivyo badilisha ID yangu ya zamani na kupita na upepo wa muuza madafu wa ikulu.

So relax, huyu mwana JF mwenzetu tu. Alikuwa na ID yake ya zamani Christoherpaul sasa kaamua kuibadilisha to chief love akipita na upepo aa jamaa.
 
Naamini moderators watalishughulikia hili. Ila kumbuka kuwa humu kuna watu ni vichaa/wagonjwa wa akili lakini ukikutana nao "wameulamba" unaweza kudhani ni wazima kumbe ni wagonjwa.
 
Muwe mnafikiria na kucanya utafiti kabla hamjalaumu watu. Huyo sio Goodlove kama ambavyo mi sio muuza madafu wa Ikulu.

Jamaa alikuwa na ID yake alichofanya ni kubadilisha ID na kujiita jina la huyo jamaa sawa na mimi nilivyo badilisha ID yangu ya zamani na kupita na upepo wa muuza madafu wa ikulu.

So relax, huyu mwana JF mwenzetu tu. Alikuwa na ID yake ya zamani Christoherpaul sasa kaamua kuibadilisha to chief love akipita na upepo aa jamaa.
Ahsante sana mkuu, nimepata ukweli sasa, Shukrani sana
 
Back
Top Bottom